Suleiman al rasady
New Member
- Aug 20, 2019
- 1
- 2
Mimi ni mzanzibar na mtanzania kadhaalika.... Leo nimeona tena maovu makubwa sana kwa eneo la Malindi zanzibar... Askari wamekua Hawna ubinaadamu wala imani ktk kazi zao..
Askari amenikamata kwasbb anasem nimpta wrong site wakati huo huo mimi naenda kumchukua mgeni wangu kwenye meli bandarini.... Nkamuuliza nikapaki wap chombo changu ikanibidi aseme mm nimjeuri kumuulixa kosa langu... Chombo kimepasi vzr tu na kila kitu kimo... Mwsho aknmbia either anipelke mji mkongwe au nimpe elfu 80..
Wakati huo mfukoni mim sina Mia... Ikanibidi niitafte ili nimpatie ili niondke
Point yangu ni mbili
Kwanza % ya askari wa Tanzania ni njaa wala hawatosheki na wanchopewa na serikali kwaio waongexewa mshahara ili kidg watulie roho zao pia waache ufisadi na roho mbya
Pili serikali ijenge au ueke utaratibu mzuri wa kueka vyombo vyao cio kututishia kwa askari au mji mkongwe kutupatia adhabu 🙏🙏🙏🙏
Askari amenikamata kwasbb anasem nimpta wrong site wakati huo huo mimi naenda kumchukua mgeni wangu kwenye meli bandarini.... Nkamuuliza nikapaki wap chombo changu ikanibidi aseme mm nimjeuri kumuulixa kosa langu... Chombo kimepasi vzr tu na kila kitu kimo... Mwsho aknmbia either anipelke mji mkongwe au nimpe elfu 80..
Wakati huo mfukoni mim sina Mia... Ikanibidi niitafte ili nimpatie ili niondke
Point yangu ni mbili
Kwanza % ya askari wa Tanzania ni njaa wala hawatosheki na wanchopewa na serikali kwaio waongexewa mshahara ili kidg watulie roho zao pia waache ufisadi na roho mbya
Pili serikali ijenge au ueke utaratibu mzuri wa kueka vyombo vyao cio kututishia kwa askari au mji mkongwe kutupatia adhabu 🙏🙏🙏🙏