Kero yangu ni Kiwanja cha mpira kinachojengwa Kisiwani Pemba, Mkoa wa Kaskazini, Wilaya ya wete, Shehia ya Pandani. Yaani Kiwanja kipya lakini kinawekwa Nyasi kongwe (zimetolewa kiwanja...
Wakala wa Vipimo Tanzania utekelezaji wa jukumu lao unaweka sana mianya ya rushwa hususani kwa sisi Wafanyabiashara wadogo.
Unakuta kila mwaka wanataka urudie kutengeneza mzani uleule...
Kampuni ya CCECC inayohusika na ujenzi wa reli ya SGR ya Mwanza Isaka imewapa termination letter wafanyakazi wote waliokuwa katika mradi kutokana kukosa fedha ya kuendeshea mradi. Wakati wa...
Ukifuatilia ziara ya Waziri Mkuu Dr. Mwigulu Nchemba ya hivi karibuni; utabaini kuwa kuna mamia kwa maelfu ya wananchi hujitokeza kwenye mikutano yake wakiwa na mabango, mafaili, nyaraka za...
Ni ajabu kuona zile juhudi zilizofanyika kusafisha jiji miaka ya nyuma zinapuuziwa kutokana na watendaji kutokufanya majukumu yako ipasavyo.
Nachojiuliza hivi vibanda vinavyochipukia kama uyoga...
Aisee huku Misugusugu Wilayani Kibaha kuna vibaka ambao wanakaa kwenye eneo la Uwanja wa Mpira, majira ya Usiku wa jana wamempora jamaa na kumchoma kisu.
Juzi, pia walimpora jamaa laki 3 na...
Maeneo mengi ya Tanzania mfano Dar es Salaam na Pwani kumekuwa na ongezeko kubwa sana la wahamiaji haramu hasa watu kutoka nchi ya Malawi ambapo wameathiri sana ajira na vibarua kwa wazawa. Mfano...
Stendi ya Mwenge ambayo inasimamiwa na Halmashauri ya Mansapaa ya Kinondoni ina mwaka mzima tangu ilipoanza kutumika, ambapo miundombinu mingi inayozunguka kituo hicho cha daladala imekamilika...
Wadau wa JamiiForums, habari zenu.
Jana, Machi 26, 2026, Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC) ilitoa tangazo ambalo linataka kila mtu au taasisi inayokusanya na kuhifadhi taarifa za watu...
Mimi ni mkazi wa Jiji la Mwanza maeneo ya Nyakato.
Wizara ya Afya ilitoa tangazo la utoaji wa chanjo ya matone ya Polio kwa wakazi wa Kanda ya Ziwa kuanzia tarehe 24/3 mpaka 27/3/2026.
Cha...
Kitongoji cha changwahela kilichopo kata ya mapinga mji mdogo wa bagamoyo kinakabiliwa na changanoto ya migogoro ya ardhi ambayo mingi kati ya hiyo inatajwa kuhusisha wananchi kuvamia mashamba...
Chuo cha Paradigms institute kilichopo kimara Dar es salaam pale wanaandaa waiting wa hovyo kwenye sector ya afya hasa course ya clinical medicine. Yani wanafunzi wanatajiwa majibu ya mitihani...
Kujengwa kanisa la kilokole hapa Mwenge kwenye makazi yawatu mkurugenzi halmashauri kuna kitu, Takukuru, NEMC amkeni
Katika hili suala Mwenyekiti wa serekali ya mtaa Mwenge, Mjumbe pamoja na...
Nikiwa Mkazi na mtumiaji wa barabara ya Ununio, hasa eneo la Chumvini, naandika hili kwa masikitiko na hofu kubwa. Eneo letu limegeuka kuwa kichaka cha uhalifu kutokana na ukosefu wa taa za...
Kisingizio hakiwezi kuwa mbuga kwani kuna mbuga nyingine zenye barabara za lami kama Mikumi.
Kisingizio si lazima kuwa ikolojia au kusema mbuga ni urithi wa dunia, ingawa hayo ni kweli. Hata...
Katika siku za hivi karibuni, kumekuwa na ongezeko la baadhi ya vijana wanaojiita watengeneza maudhui ya mtandaoni, lakini njia wanazotumia si sahihi na zinakiuka maadili ya kijamii.
Mmoja wa...
Nimesoma taarifa hii nachelea kusema kuwa Kenneth Simbaya amalizane na hao waratibu. Hii ni aibu na fedheha kwa Taasisi kubwa nchini.
---
TAARIFA KWA UMMA
KUHUSU UKIUKWAJI WA HAKI ZA AJIRA...
Wakati huu ambao vita vinaendelea nchini Iran inayoshambuliwa na Marekani na Israel, kumekuwa na ongezeko la bei za mafuta na huenda ongezeko hilo likaendelea maadam vita bado vinaendelea.
Mara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.