DOKEZO Threads

Anonymous (8b17)
DOKEZO 
Kero yangu ni Kiwanja cha mpira kinachojengwa Kisiwani Pemba, Mkoa wa Kaskazini, Wilaya ya wete, Shehia ya Pandani. Yaani Kiwanja kipya lakini kinawekwa Nyasi kongwe (zimetolewa kiwanja...
0 Reactions
1 Replies
157 Views
Anonymous
DOKEZO 
Wakala wa Vipimo Tanzania utekelezaji wa jukumu lao unaweka sana mianya ya rushwa hususani kwa sisi Wafanyabiashara wadogo. Unakuta kila mwaka wanataka urudie kutengeneza mzani uleule...
0 Reactions
0 Replies
70 Views
Kampuni ya CCECC inayohusika na ujenzi wa reli ya SGR ya Mwanza Isaka imewapa termination letter wafanyakazi wote waliokuwa katika mradi kutokana kukosa fedha ya kuendeshea mradi. Wakati wa...
20 Reactions
65 Replies
2K Views
Anonymous
DOKEZO 
Mkandarasi mwenyewe wa TAKA Kata ya Miburani ameshindwa kufanya kazi na kuna Hatari ya Magonjwa ya Mlipuko. Mchakato wa tenda umeingiliwa na wanasiasa
1 Reactions
4 Replies
93 Views
Anonymous
DOKEZO Responded 
Ukifuatilia ziara ya Waziri Mkuu Dr. Mwigulu Nchemba ya hivi karibuni; utabaini kuwa kuna mamia kwa maelfu ya wananchi hujitokeza kwenye mikutano yake wakiwa na mabango, mafaili, nyaraka za...
0 Reactions
1 Replies
149 Views
Ni ajabu kuona zile juhudi zilizofanyika kusafisha jiji miaka ya nyuma zinapuuziwa kutokana na watendaji kutokufanya majukumu yako ipasavyo. Nachojiuliza hivi vibanda vinavyochipukia kama uyoga...
2 Reactions
17 Replies
310 Views
Aisee huku Misugusugu Wilayani Kibaha kuna vibaka ambao wanakaa kwenye eneo la Uwanja wa Mpira, majira ya Usiku wa jana wamempora jamaa na kumchoma kisu. Juzi, pia walimpora jamaa laki 3 na...
1 Reactions
12 Replies
296 Views
Maeneo mengi ya Tanzania mfano Dar es Salaam na Pwani kumekuwa na ongezeko kubwa sana la wahamiaji haramu hasa watu kutoka nchi ya Malawi ambapo wameathiri sana ajira na vibarua kwa wazawa. Mfano...
1 Reactions
26 Replies
1K Views
Kijukuu cha Tanzania
DOKEZO Responded 
Stendi ya Mwenge ambayo inasimamiwa na Halmashauri ya Mansapaa ya Kinondoni ina mwaka mzima tangu ilipoanza kutumika, ambapo miundombinu mingi inayozunguka kituo hicho cha daladala imekamilika...
1 Reactions
0 Replies
215 Views
Wadau wa JamiiForums, habari zenu. Jana, Machi 26, 2026, Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC) ilitoa tangazo ambalo linataka kila mtu au taasisi inayokusanya na kuhifadhi taarifa za watu...
3 Reactions
3 Replies
279 Views
Anonymous (1896)
DOKEZO 
Mimi ni mkazi wa Jiji la Mwanza maeneo ya Nyakato. Wizara ya Afya ilitoa tangazo la utoaji wa chanjo ya matone ya Polio kwa wakazi wa Kanda ya Ziwa kuanzia tarehe 24/3 mpaka 27/3/2026. Cha...
0 Reactions
0 Replies
85 Views
Kitongoji cha changwahela kilichopo kata ya mapinga mji mdogo wa bagamoyo kinakabiliwa na changanoto ya migogoro ya ardhi ambayo mingi kati ya hiyo inatajwa kuhusisha wananchi kuvamia mashamba...
0 Reactions
3 Replies
161 Views
Chuo cha Paradigms institute kilichopo kimara Dar es salaam pale wanaandaa waiting wa hovyo kwenye sector ya afya hasa course ya clinical medicine. Yani wanafunzi wanatajiwa majibu ya mitihani...
6 Reactions
7 Replies
213 Views
Kujengwa kanisa la kilokole hapa Mwenge kwenye makazi yawatu mkurugenzi halmashauri kuna kitu, Takukuru, NEMC amkeni Katika hili suala Mwenyekiti wa serekali ya mtaa Mwenge, Mjumbe pamoja na...
6 Reactions
56 Replies
600 Views
Nikiwa Mkazi na mtumiaji wa barabara ya Ununio, hasa eneo la Chumvini, naandika hili kwa masikitiko na hofu kubwa. Eneo letu limegeuka kuwa kichaka cha uhalifu kutokana na ukosefu wa taa za...
5 Reactions
5 Replies
231 Views
Kisingizio hakiwezi kuwa mbuga kwani kuna mbuga nyingine zenye barabara za lami kama Mikumi. Kisingizio si lazima kuwa ikolojia au kusema mbuga ni urithi wa dunia, ingawa hayo ni kweli. Hata...
8 Reactions
61 Replies
2K Views
Katika siku za hivi karibuni, kumekuwa na ongezeko la baadhi ya vijana wanaojiita watengeneza maudhui ya mtandaoni, lakini njia wanazotumia si sahihi na zinakiuka maadili ya kijamii. Mmoja wa...
3 Reactions
16 Replies
387 Views
Nimesoma taarifa hii nachelea kusema kuwa Kenneth Simbaya amalizane na hao waratibu. Hii ni aibu na fedheha kwa Taasisi kubwa nchini. --- TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UKIUKWAJI WA HAKI ZA AJIRA...
1 Reactions
1 Replies
175 Views
Wakati huu ambao vita vinaendelea nchini Iran inayoshambuliwa na Marekani na Israel, kumekuwa na ongezeko la bei za mafuta na huenda ongezeko hilo likaendelea maadam vita bado vinaendelea. Mara...
3 Reactions
4 Replies
274 Views
Back
Top Bottom