DOKEZO Threads

Kuna mwizi ambaye amekuwa akivamia nyumba za watu usiku katika maeneo mbalimbali nchini, ikiwemo Dodoma, Dar es Salaam, Goba, na maeneo mengine ambayo bado yanaendelea kuripoti matukio kama haya...
1 Reactions
5 Replies
155 Views
Wasalaam wananzengo na majukumu ya hapa na pale. Kero yangu iko kwa ndugu zetu wa mifuko ya hifadhi hasa watu tulio private sector tunaohudumiwa na shirika la mifuko ya hifadhi ya taifa kwa maana...
3 Reactions
2 Replies
124 Views
Salaam! Kuleta mfumo wa ESS ni jambo zuri hasa katika uombaji wa mikopo binafsi. Tatizo lililopo, watumishi wengi hawana uelewa wa athari za hii mikopo, maana imefikia mpaka 40% ya riba...
9 Reactions
64 Replies
2K Views
Taarifa zinazozunguka ndani ya Jiji la Mwanza na wadau wa soka mkoani Mwanza zinaibua maswali mazito kuhusu mwenendo wa uendeshaji wa timu ya Pamba Jiji FC, hususan katika eneo la matumizi ya...
1 Reactions
3 Replies
302 Views
Fbn
DOKEZO 
Leo kuna kijana anataka kwenda south Africa kutafuta maisha alinipigia na yupo mkoa fulani siwezi kutaja. Kwa tafiti zangu za kuzurura na kutembea sana ila kule sasa sio pakutafuta maisha kwa mtu...
6 Reactions
18 Replies
583 Views
Mkuu, Kama ulikuwa unabet basi umelenga palepale. Siyo kubet mkuu ! Subiria hata Mabadiliko ya Baraza la Mawaziri yanakuja Baada ya ziara ya Kusini Katavi, Nape na Makamba wanatemwa Pia soma...
131 Reactions
271 Replies
31K Views
Hakuna kazi ngumu kama kupata Control number ofisi ya RTO MWANZA, pengine kuliko huduma nyingine zitolewazo na ofisi nyingine za umma pale mkoani Mwanza. Je, hakuna suala la rushwa ndani yake...
1 Reactions
3 Replies
140 Views
Ni muda sasa nimekuwa nahudhuria kusikiliza kesi za ndugu/marafiki katika mahakama hii ya mwanzo Arusha maarufu kama Mahakama ya Maromboso, hasa kesi zinazo sikilizwa na mfawidhi wa hii mahakama...
1 Reactions
5 Replies
216 Views
Anonymous
DOKEZO 
Wakuu habari, Kwa taarifa za chini chini, Serikali inaenda kuhuisha sheria hizo kupitia Ofisi ya waziri Mkuu... Kumbuka sheria hasa ya mishahara binafsi inaenda kufanyiwa marekebisho; kuanzia...
2 Reactions
7 Replies
346 Views
Anonymous
DOKEZO 
Mimi ni mwalimu wa Shule ya Sekondari katika Halmashauri ya Arusha DC. Hivi karibuni wanafunzi wa kidato cha nne walifanya mitihani ya pre-mock, ambapo kila mwanafunzi alitozwa shilingi 12,000...
1 Reactions
8 Replies
238 Views
Anonymous
DOKEZO 
Wilaya ya Bunda maafisa utumishi na TSC wanawasumbua walimu waliojiendeleza na kuwa na sifa ya kubadili miundo yao katika ajira kama kutoka daraja la IIIA au IIIB kwenda IIIC. Mtumishi...
2 Reactions
2 Replies
622 Views
Anonymous
DOKEZO 
Mheshimiwa Rais, Awali ya yote, tunakupongeza kwa kazi kubwa unayoifanya katika kuijenga nchi yetu, hususan katika kuboresha sekta ya afya. Sisi kama watumishi na wadau wa Hospitali ya Taifa...
3 Reactions
4 Replies
352 Views
Hii kampuni Magmop ni kampuni ya Angela Kizigha na iko registered kwa number yake ya simu, yani her own personal number. Mnaweza kucheki wenyewe ownership ya hii magmop. Naomba muangalie magari...
6 Reactions
18 Replies
618 Views
Anonymous (8b17)
DOKEZO 
Kero yangu ni Kiwanja cha mpira kinachojengwa Kisiwani Pemba, Mkoa wa Kaskazini, Wilaya ya wete, Shehia ya Pandani. Yaani Kiwanja kipya lakini kinawekwa Nyasi kongwe (zimetolewa kiwanja...
0 Reactions
1 Replies
156 Views
Anonymous
DOKEZO 
Wakala wa Vipimo Tanzania utekelezaji wa jukumu lao unaweka sana mianya ya rushwa hususani kwa sisi Wafanyabiashara wadogo. Unakuta kila mwaka wanataka urudie kutengeneza mzani uleule...
0 Reactions
0 Replies
68 Views
Kampuni ya CCECC inayohusika na ujenzi wa reli ya SGR ya Mwanza Isaka imewapa termination letter wafanyakazi wote waliokuwa katika mradi kutokana kukosa fedha ya kuendeshea mradi. Wakati wa...
20 Reactions
65 Replies
2K Views
Anonymous
DOKEZO 
Mkandarasi mwenyewe wa TAKA Kata ya Miburani ameshindwa kufanya kazi na kuna Hatari ya Magonjwa ya Mlipuko. Mchakato wa tenda umeingiliwa na wanasiasa
1 Reactions
4 Replies
90 Views
Back
Top Bottom