Kuna mwizi ambaye amekuwa akivamia nyumba za watu usiku katika maeneo mbalimbali nchini, ikiwemo Dodoma, Dar es Salaam, Goba, na maeneo mengine ambayo bado yanaendelea kuripoti matukio kama haya...
Wasalaam wananzengo na majukumu ya hapa na pale.
Kero yangu iko kwa ndugu zetu wa mifuko ya hifadhi hasa watu tulio private sector tunaohudumiwa na shirika la mifuko ya hifadhi ya taifa kwa maana...
Salaam!
Kuleta mfumo wa ESS ni jambo zuri hasa katika uombaji wa mikopo binafsi.
Tatizo lililopo, watumishi wengi hawana uelewa wa athari za hii mikopo, maana imefikia mpaka 40% ya riba...
Taarifa zinazozunguka ndani ya Jiji la Mwanza na wadau wa soka mkoani Mwanza zinaibua maswali mazito kuhusu mwenendo wa uendeshaji wa timu ya Pamba Jiji FC, hususan katika eneo la matumizi ya...
Leo kuna kijana anataka kwenda south Africa kutafuta maisha alinipigia na yupo mkoa fulani siwezi kutaja.
Kwa tafiti zangu za kuzurura na kutembea sana ila kule sasa sio pakutafuta maisha kwa mtu...
Mkuu,
Kama ulikuwa unabet basi umelenga palepale.
Siyo kubet mkuu ! Subiria hata Mabadiliko ya Baraza la Mawaziri yanakuja Baada ya ziara ya Kusini Katavi, Nape na Makamba wanatemwa
Pia soma...
Hakuna kazi ngumu kama kupata Control number ofisi ya RTO MWANZA, pengine kuliko huduma nyingine zitolewazo na ofisi nyingine za umma pale mkoani Mwanza.
Je, hakuna suala la rushwa ndani yake...
Ni muda sasa nimekuwa nahudhuria kusikiliza kesi za ndugu/marafiki katika mahakama hii ya mwanzo Arusha maarufu kama Mahakama ya Maromboso, hasa kesi zinazo sikilizwa na mfawidhi wa hii mahakama...
Wakuu habari,
Kwa taarifa za chini chini, Serikali inaenda kuhuisha sheria hizo kupitia Ofisi ya waziri Mkuu...
Kumbuka sheria hasa ya mishahara binafsi inaenda kufanyiwa marekebisho; kuanzia...
Mimi ni mwalimu wa Shule ya Sekondari katika Halmashauri ya Arusha DC.
Hivi karibuni wanafunzi wa kidato cha nne walifanya mitihani ya pre-mock, ambapo kila mwanafunzi alitozwa shilingi 12,000...
Wilaya ya Bunda maafisa utumishi na TSC wanawasumbua walimu waliojiendeleza na kuwa na sifa ya kubadili miundo yao katika ajira kama kutoka daraja la IIIA au IIIB kwenda IIIC.
Mtumishi...
Mheshimiwa Rais,
Awali ya yote, tunakupongeza kwa kazi kubwa unayoifanya katika kuijenga nchi yetu, hususan katika kuboresha sekta ya afya. Sisi kama watumishi na wadau wa Hospitali ya Taifa...
Hii kampuni Magmop ni kampuni ya Angela Kizigha na iko registered kwa number yake ya simu, yani her own personal number. Mnaweza kucheki wenyewe ownership ya hii magmop.
Naomba muangalie magari...
Kero yangu ni Kiwanja cha mpira kinachojengwa Kisiwani Pemba, Mkoa wa Kaskazini, Wilaya ya wete, Shehia ya Pandani. Yaani Kiwanja kipya lakini kinawekwa Nyasi kongwe (zimetolewa kiwanja...
Wakala wa Vipimo Tanzania utekelezaji wa jukumu lao unaweka sana mianya ya rushwa hususani kwa sisi Wafanyabiashara wadogo.
Unakuta kila mwaka wanataka urudie kutengeneza mzani uleule...
Kampuni ya CCECC inayohusika na ujenzi wa reli ya SGR ya Mwanza Isaka imewapa termination letter wafanyakazi wote waliokuwa katika mradi kutokana kukosa fedha ya kuendeshea mradi. Wakati wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.