DOKEZO Threads

Anonymous
DOKEZO 
kwa muda mrefu kumekuwa na tuhuma ambazo zinathibitika za mganga mkuu wa halmashauri ya wilaya ya serengeti nashangaa mamlaka zake mkoa ,Tamisemi na wizara zikikaa kimya pasipo kutusaidia...
0 Reactions
1 Replies
230 Views
Hii hali sasa imekuwa too much. Serikali ingilieni kati toka mwezi wa pili mwaka huu wanafunzi wa shule ya sekondari JENISTER MHAGAMA wa kidato cha kwanza na kidato cha tatu wamekuwa wakianguka...
3 Reactions
24 Replies
355 Views
BARUA YA WAZI KWA VIONGOZI WA SERIKALI KUHUSU MALIPO YA MISHARA NA STAHIKI BAADA YA MKATABA KUMALIZIKA NA TAASISI YA BENJAMINI MKAPA Tarehe: 17 Juni 2025 Kwa: Waheshimiwa Viongozi wa Serikali...
0 Reactions
2 Replies
514 Views
Kutokana na hali ya umaskini kati ya wananchi wengi wa wanaoumwa magonjwa ya muda mrefu au ya muda mfupi lakini yanahitaji gharama kubwa kama vile upasuaji na mengineo hufia majumbani kutokana na...
11 Reactions
64 Replies
712 Views
Anonymous (0c95)
DOKEZO 
Mimi ni mwananchi wa Singida, kero yangu ni jengo la ghorofa sita kwaajili ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Singida, lilianza kujengwa tangu nipo Sekondari Miaka ya 2010's lakini mpaka leo ujenzi...
2 Reactions
9 Replies
343 Views
Anonymous (01f4)
DOKEZO 
Mfumo wa Ajira Portal wa TAKUKURU kwa watu wanaoomba kwa Level ya Degree na hawajapita form six mfumo unataka cheti cha form six, naomba utufikishie hili maana sio wote walisoma form six wengine...
2 Reactions
26 Replies
475 Views
Hii ilikua jana , huyu Polisi alizikusanya Bajaji na kuchukua Rushwa ya kati ya 3000 hadi 5000 kwa Bajaji, Takribani Bajaji 6 wakati huo zilikua zimekamatwa hapo
0 Reactions
7 Replies
195 Views
Hali ya usalama barabarani imeendelea kuzorota huku malori ya kubeba mchanga yakihusishwa moja kwa moja na ajali nyingi zinazogharimu maisha ya wananchi wasiokuwa na hatia. Kila siku, barabara...
3 Reactions
3 Replies
214 Views
BigTall
DOKEZO Responded 
Pia soma:TANROADS: Barabara ya Mzunguko wa Nje ya Dodoma (Outer Ring Road) haijakamilika rasmi, inatumika kwa dharura
4 Reactions
24 Replies
420 Views
Anonymous (01f4)
DOKEZO 
Je, Jamii tuna ELIMU ya kutosha jinsi ya kutumia gas na kulinda mtungi wa gas ili kuepuka hatari? Kwanini kampuni za gas zisingeweka sticker ya kuonesha do's na donts za gas. Kwa mfumo wa picha...
0 Reactions
0 Replies
70 Views
Anonymous
DOKEZO Responded 
Kero yangu ni kwamba nilienda kufanya interview ya kazi Jijini Mwanza iliyofanyika Friday Aprili 10, 2026 na nilikuwa nawania nafasi ya Ukatibu Afya Ngazi ya Shahada, palikuwa na interview mbili...
7 Reactions
31 Replies
643 Views
Anonymous
DOKEZO 
Wakandarasi wanaofanya kazi SGR tuna kero moja kwanza mshahara wa Serikali ilipopandisha mwanzo kabla hawajapandisha ilikuwa kwa siku ni shilingi 17,200 kwa madereva na ma operator, ila kwa...
1 Reactions
4 Replies
160 Views
Anonymous (6235)
DOKEZO 
Nina shida kuna Jambo linanisumbua hapa nilipo nipo Chunya sehemu ninayofanyia kazi kuna raia wa Malawi ni wengi sana na wengi wao hawana uhalali wa kufanya kazi hapa nchini. Shida iliyopo...
2 Reactions
6 Replies
130 Views
Anonymous
DOKEZO 
Lilian Akijar (Badi) ndiye Mwenyekiti wa Baraza la Uongozi la Chuo Kikuu cha Iringa (University of Iringa) kwa sasa lakini Uteuzi wake umeendelea kuzua mijadala ya kimyakimya miongoni mwa viongozi...
3 Reactions
20 Replies
1K Views
Anonymous (e1e0)
DOKEZO 
Mashirika hasa ya dini kama KKKT na RC pamoja na wawekezaji binafsi watusikie Wazazi wa Dodoma. Dodoma kuna uhitaji mkubwa sana wa Shule bora za Sekondari za kutwa, kwa sababu Mwakani 2027 Watoto...
0 Reactions
0 Replies
133 Views
Kuna changamoto ya Mfumo wa Employee Self Service (ESS), Watumishi wa Serikali tunateseka. Nimeanza kutumia Mfumo kwa ajili ya kuomba Uhamisho wa kuhama kutoka ‘Taasisi A’ kwenda ‘Taasisi B’ kwa...
3 Reactions
26 Replies
8K Views
Anonymous
DOKEZO Responded 
Unapeleka transfer pale Halmashauri ya Ilemela Kitengo cha Ardhi umenunua ardhi tuseme ili wakupe form Namba 33 ya transfer apart kuwa umelipia malipo ya Serikali under control number...
1 Reactions
0 Replies
152 Views
Anonymous (273e)
DOKEZO 
Jengo la RITA Tower lililoko Posta Dar es Salaam, naona wameamua kulisahau mpaka siku maafa yatokee ili waunde tume. Jengo lile lina ghorofa 26, mnaweza kuelewa limebeba watu wengi kiasi gani...
0 Reactions
0 Replies
131 Views
Anonymous
DOKEZO 
Kero yangu ipo kwa DTO wa Kituo cha Polisi, MBIGILI Mkoa wa IRINGA, amekuwa akikamata Bajaj ovyoovyo na kuwashikilia madereva kwa kuwaweka ndani ya Bajaj zao pamoja na kuweka mikakati migumu ya...
0 Reactions
5 Replies
91 Views
Back
Top Bottom