Mimi ni miongoni mwa Watu 178 walioitwa kuripoti kazini na VETA tangu tarehe 14 Feb, 2026, tulifika ofisi za VETA Dodoma tukajaza taarifa binafsi, kisha tukaambiwa tusubiri maelekezo mengine…...
Nimekuja hapa kupongeza, kwa kweli naishukuru Serikali ya Tanzania na Rais wetu mama Samia Suluhu.
Mama yangu anaumwa Saratani ya Kizazi, alipogundulika na hilo tatizo kwakweli kwenye familia...
Siku ya Wauguzi Dunia ilikuwa Mei 12 ila wahusika ambao wako kwenye nafasi kubwa za Chama cha Wauguzi Tanzania (TANNA) waliogopa kuwasilisha kwa watawala hoja za wanachama wao kwa sababu wanaogopa...
Wakuu,
Jamani ni mimi mwenyewe ndo nimeona hivi au kuna wengine pia mmeona?
Yaani siku hizi mtandaoni kumekuwa kama soko la ushauri wa afya. Kila mtu akiamka anajirekodi video akisema "kunywa...
Mimi ni muhitimu wa kozi fupi ya Forklift Operator katika Chuo cha Veta Chango’mbe Dar es Salam Mwaka 2025, pale kuna changamoto nyingi zinazosababisha watu wanahitimu wakiwa hawapo fiti, ni kama...
Kwa sasa, takribani miaka mitatu imepita tangu Serikali ilipotangaza kuleta mabehewa sita ya ghorofa ya SGR (June 2023), ambayo kwa pamoja yalielezwa kuwa na uwezo wa kubeba zaidi ya abiria 250...
Hali inatisha jamani sijui kam taifa tunaelekea wapi kila kitu ni feki kila kitu
Ukienda kununua dawa kwenye haya mapharmacy dawa nyingi ni feki hasa tunaopenda dawa za bei rahisi ila ubaya...
Mwaka 2025 Ajira Mpya kwenye Kada ya Uhandisi Kilimo (Agro Engineers) tuliajiriwa Wahandisi 12 kwenye Halmashauri moja, cha kushangaza hata tulipofika kila mtu wetu alishangaa haiwezekani...
Mimi nina tatizo kwenye Board ya Ununuzi wa umma Tanzania PSPTB kwenye Mfumo wa kujisajili na hii Board Ina category mbalimbali
Ukiwa unajisajili ukikosea kuchagua category Yako husika kwa mfano...
Nimeona taarifa kuwa Kituo cha PPP-CENTRE kimesema zaidi ya mabasi 150 ya kampuni ya Mofat yameegeshwa kwa zaidi ya miezi sita kutokana na ukosefu wa maeneo ya kutoa huduma, huku mabasi 50 pekee...
Napenda kutoa kero yangu hapa kwenu:
Mkoa wa Mwanza na wilaya zake, kwa Maafisa Elimu na Maafisa Taaluma wa Elimu Msingi kuzingatia maadili ya kazi na kuheshimu utu wa walimu, hasa walimu wa...
Vita ya marekani na Irani imepelekea bei za mafuta kupanda duniani,
Kupanda kwa mafuta kumesabisha kupanda kwa nauli kwenye kila aina ya usafirishaji kitu ambacho kimesababisha ukali wa maisha...
Mimi ni mfanyakazi, nipo Utawala Ofisi ya Halmashauri ya Wilaya Kibaha Vijijini (KDC) baada ya kukosa mshahara tangu Februari 2026, nilipofuatilia naambiwa tatizo lipo HAZINA.
Nilipoenda...
Hapa kwetu Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya (Mbeya DC), Mkurugenzi Mtendaji wetu, Erica Yegella ana changamoto kadhaa kuhusu matumizi ya ofisi yake:
1. Hakufanya kikao na Baraza la Wafanyakazi...
Dar es Salaam, kama jiji kubwa na kitovu cha uchumi wa nchi, linapaswa kuwa mfano bora wa usafi na upangaji wa mazingira. Hata hivyo, hali halisi inayoonekana mitaani inazua maswali mengi kuhusu...
Katika ngazi zake ya Menejimenti LATRA asilimia 95 ni watu wa kutoka dini moja, hii sio bahati mbaya, hii imepangwa kabisa, Serikali kila siku inajipambanua katika usawa wa kidini, lakini LATRA...
Kiwanda cha Dawa kilichopo Keko (Keko Pharmaceutical Industries - 1997) ambacho kilichukuliwa na Serikali Mwaka 2019 kinavyoachwa kuteketea bila sababu yoyote huku kikiwa chini ya Serikali kwa...
Tumepoteza vijana zaidi ya 34 mpaka sasa kwamba hawajulikani walipo kumbe wameuwawa
Mdude Nyagali
Deusdedith Soka
Chaula
Na wengine wameuawa tayari
Endelea kutega sikio Nani kamuua na lini...
Wanabodi
Hii ni makala yangu kwenye Gazeti la Nipashe Jumapili ya Leo
Wanabodi, msituone Waandishi wa Habari na Watangazaji wa Tanzania, kama ni waoga waoga, na vyombo vya habari vya Tanzania...
Nina mgonjwa wangu ambaye amelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Sekou-Toure (Mwanza), moja ya changamoto ambayo nimeishuhudia hapa ni kwamba kuna tatizo kubwa sana la umeme kukatika mara kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.