DOKEZO Threads

Hii benki imenirudisha enzi za ujima na analogy tulipokuwa tunasubiri mkopo wiki mbili mpaka tatu,yaani naenda siku ya tano, kila sehemu umetishwa na makato yameingizwa ila wao hawataki kunipa...
5 Reactions
32 Replies
2K Views
Abdul Nondo
DOKEZO Responded 
Mh. Rais Samia ,Waziri wa Elimu Prof.Mkenda na Wizara ya Elimu kwa ujumla kwanza napenda kupongeza mfumo huu Mpya wa Samia Scholarship ulioanzishwa kutoa ufadhili wa Masomo vyuo vikuu 100% kwa...
10 Reactions
10 Replies
3K Views
Miaka ya karibuni, kumekuwapo na maelekezo na miongozo kutoka mamlaka za udhibiti ambayo wakati mwingine hayafafafanuliwi vya kutosha, na kusababisha mkanganyiko na mabadiliko yasiyopangwa vizuri...
3 Reactions
2 Replies
501 Views
Mshangazi mdogomdogo
DOKEZO Responded 
Kuna tukio limetokea huku kwetu Kijiji cha Msonga Kata ya Runzewe, Wilaya ya Bukombe Mkoani Geita, kama tutaendelea kubaki kimya hakuna kitakachofanyika na hatua hazitachukuliwa. Kuna kijana...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
WATU SIJUI tuna SHIDA ipi, unaambiwa usinunue ardhi HAPO NYUMBA zaidi ya mia Saba zinataka kubomolewa kesi IPO mahakamani, MTU UNAENDA TENA kuulizia kiwanja SAA ZINGINE MATATIZO yanayo toke NYIE...
4 Reactions
17 Replies
544 Views
babajeska
DOKEZO Responded 
Mimi ni mwanachama wa mfuko wa PSSSF niliyechangia miaka kadhaa kabla ya kupoteza ajira kutokana na sababu mbalimbali, mwaka jana (2024) nilifUatilia fao la kukosa ajira nilizungushwa hadi nikaja...
3 Reactions
12 Replies
1K Views
Wakuu kwema Jana nilipata changamoto ya kiafya ikabidi niende pale zahanati ya halmashauri mwenge karibu ba uwanja wa KMC ni Mwenge, nilikutana na mambo ya kushangaza sana, na huu ni wizi wa...
2 Reactions
13 Replies
636 Views
Oktoba 29, 2024, Mwanafunzi wa kike aliyekuwa anasoma Kidato cha Nne katika Shule ya Sekondari Kibasila iliyopo Manispaa ya Temeke jijini Dar es Salaam aliripoti tukio la kupigwa vibaya na...
0 Reactions
0 Replies
372 Views
Waziri wa TAMISEMI ingilia kati rushwa na upigaji utoaji wa fedha za kujikimu kwa ajira mpya. Ukifuatilia Halmashauri mara kwa mara wanakulipa cha kushangaza ni kwamba unapewa fedha pungufu wengi...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Ni jambo la kusikitisha kwamba tangu mwezi wa February hadi sasa, fedha za kujikimu kwa watumishi wapya hazijatolewa. Kimya kimya, fedha hizi zimezuiwa, na kila jaribio la kufuatilia huambulia...
1 Reactions
25 Replies
2K Views
Miaka 7 iliyopita nilinunua kiwanja cha SQm 400 hivi maeneo ya Sahwa. Kutokana na uwezo wangu mdogo tukashauriana na wife tujenge nyumba ndogo kwanza ya vyumba viwili na sebule baadaye tukitulia...
0 Reactions
8 Replies
707 Views
Hellw jf,kuna shida bado tunapata.Bado tunapata changamoto ya kupata AVN number na matokeo yametumwa,ukifika nacte kuongea nao wanakujib vibaya wakitumia lugha mbaya.Ni sawa ni taasis ya serikali...
2 Reactions
14 Replies
714 Views
TAARIFA KWA WAANDISHI WA HABARI JINA : HAMIS MBWANA MZENGA Awali ya yote kwa niaba ya wahanga wenzangu, Tunamshukuru Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama yetu Samia Suluhu Hassan kwa...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) ujumbe huu uwafikie haraka na mchukue hatua za kinidhamu na za haraka kwa baadhi ya vituo vya mafuta kujiingiza kwenye mchezo mchafu...
5 Reactions
7 Replies
764 Views
Habari ni kwamba zipo taarifa za kuaminika kuwa hospitali ya rufaa kanda ya shinyanga iliyopo eneo la mwawaza watendaji wa hospitali hiyo wameingia kwenye kashfa kubwa za kushindwa kutoa huduma...
2 Reactions
7 Replies
749 Views
Kuna changamoto jana nilikutana nayo wakuu ya wanafunzi wasichana kama watano walinifata kituoni kuomba simu kuwapigia wazazi wao wawatumie nauli hata elfu mbili watoe wapande bajaji waende...
5 Reactions
44 Replies
6K Views
Anonymous
DOKEZO GE2025 
Ikiwa kama mustakhabali wa VITI MAALUMU Ndani ya Chama Utaamuliwa Kwa Rushwa tena Rushwa ya Wazi Wazi basi hadhi ya Uwakilishi wa kundi Hili maalumu hauna faida yeyote Ile kwetu sisi Wanawake...
0 Reactions
5 Replies
559 Views
Habari wanajamvi! Utaratibu wa ulipaji serikalini wa fedha zote huanza na maombi ya fedha kwa jambo linalokusudiwa mfano manunuzi au posho na haya maombi ya fedha kwa namna nyingine huitwa...
0 Reactions
0 Replies
258 Views
Wafanyabiashara katika Wilaya ya Busega, mkoani Simiyu, wamelalamikia kile walichokieleza kuwa ni michango ya lazima kwa ajili ya maandalizi ya Mwenge wa Uhuru, wakidai kuwa wanatozwa fedha...
0 Reactions
9 Replies
734 Views
Mfanyabiashara maarufu katika mikoa ya Arusha, Dar na Dodoma Joseph Kalugendo mkazi wa Moshoni jijini Arusha, ameibiwa fedha zake zaidi ya milioni 100 katika benki ya NMB tawi la Clock Tower...
43 Reactions
284 Replies
33K Views
Back
Top Bottom