DOKEZO Threads

Anonymous
DOKEZO 
Ujumbe huu ufike kwa Afisa Elimu (Wilaya/Mkoa), Wilaya ya Ludewa, Mkoa wa Njombe Ndugu Afisa Elimu, Napenda kuwasilisha lalamiko juu ya hali ya uzembe unaoendelea katika baadhi ya shule za...
0 Reactions
2 Replies
303 Views
dndagula
DOKEZO Responded 
Ni kipindi cha miaka karibu 23 hivi tathmini ya kwa ajili ya uhamisho wa Kipunguni imekuwa ikifanyika bila mafanikio, hivi karibuni imefanyika tena na Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba akathibitisha...
4 Reactions
88 Replies
9K Views
Kuna kakikundi kalikoaminisha Umma kwamba ni kasafi Kumbe kameoza sana. Pesa zaidi ya Trilion 3 ziko hapo visiwa jirani. B
37 Reactions
175 Replies
14K Views
Anonymous
DOKEZO 
KUNA SUALA LA WANAFUNZI KUOMBA MKOPO WA ELIMU YA JUU WANAAMBIWA BILA KUWA NA NaPA (National Physical Addressing) - anuani Na Makazi hawawezi kuendelea na kufanya maombi na ukienda kufatilia hiyo...
0 Reactions
8 Replies
474 Views
Anonymous
DOKEZO 
Mzazi wangu ni mmoja wa Wazee ambao wamestaafu utumishi katika Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA), mzee wangu na wenzake wengi waliostaafu Mwaka 2004, 2005 na 2006 hawajalipwa stahiki...
12 Reactions
76 Replies
5K Views
Anonymous
DOKEZO 
Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi, wajawazito wanadaiwa kulipia kadi za kliniki Shilingi elfu 2, hii si sawa kwa sababu huduma za mama na mtoto ni bure kwa mujibu wa sera ya Afya! Mganga Mkuu wa...
1 Reactions
3 Replies
702 Views
Habari za muda huu wakuu, ni matumaini yangu kuwa mpo na afya na nguvu tele, na kama ni hivyo basi tumshukuru na kumtukuza Mungu wa mbinguni aliye hai. Moja kwa moja bila ya kupoteza muda niende...
0 Reactions
3 Replies
496 Views
Anonymous
DOKEZO 
Kuna Traffic wanakaa pale Kibamba Bwawani, wanachukua elf 5 kwa kila daladala za Kutoka Kibaha. Imekuwa ni kama mradi kwao, hawakagui magari ni konda anashuka anawapelekea elf 5 gari inaondoka...
3 Reactions
11 Replies
520 Views
JanguKamaJangu
DOKEZO Responded 
Baadhi ya wanawake wajasiliamali wa Tarafa ya Karema Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika Mkoani Katavi wametoa kero ya kutokupata mikopo ambayo itawasaidia kuendeleza biashara zao. Wanawake hao...
0 Reactions
0 Replies
317 Views
Zanzibar-ASP
GE2025 DOKEZO Responded 
Kuna kitu cha ajabu kidogo kinaendelea hapa Tanzania kuhusu magari yenye plate number zenye maandishi ya SSH zikifuatiwa na namba za 25 30, 2025 30, nk Nimewahi kudadisi na kuchunguza kupitia...
13 Reactions
56 Replies
6K Views
Anonymous
DOKEZO 
CCM mtuambie hizi ndege zimetoka kwenye taasisi gani?! Tunaozijua tumeshajua zimetoka wapi, maana hazina utofauti na zile zilizotumika kutoa msaada kwa wahanga wa maporomoko ya Mlima Hanang...
0 Reactions
1 Replies
272 Views
Anonymous
DOKEZO 
Watumishi wa Halmashauri ya MADABA Mkoa wa RUVUMA katika idara ya elimu sekondari. Changamoto kubwa tunayoipitia kama Walimu ni kuwa fedha za nauli ya likizo ya malipo kwa Mwaka 2024 Mwezi wa 12...
1 Reactions
7 Replies
430 Views
Wakuu! Mnakumbuka Agosti 28, 2025, Mgombea Urais kupitia CCM, Samia Suluhu Hassan, wakati wa uzinduzi wa kampeni za chama hicho katika Viwanja vya Tanganyika Packers, jijini Dar es Salaam...
3 Reactions
7 Replies
543 Views
Unapewa usaini karatasi ya BIMA halafu baada ya hapo unapewa dawa pungufu ya zile zilizo andikwa kwenye fomu ya bima au vipimo na wengine wanaenda mbali wanakwambia sehemu ya tarehe usiijaze na...
13 Reactions
42 Replies
2K Views
Anonymous
DOKEZO 
Kuna uovu unaendelea kwenye halimashauri ya bagamoyo na wizara ya ardhi ambapo kuna watendaji wanabiashara ya siri ya uchuuzi wa viwanja kwenye maeneo ya wananchi kwa kutumia migogoro hasa ya...
1 Reactions
8 Replies
888 Views
Anonymous
DOKEZO 
Viongozi watupie jicho eneo hili la Kariakoo kuna wimbi kubwa la kundi la watu limekuwa likikamata Bodaboda wakishirikiana na baadhi ya Wanausalama na kuchua rushwa kuanzia elfu 10 mpaka 20...
2 Reactions
17 Replies
1K Views
Salam wakuu, Kama mada inavyojieleza hapo juu, like a week ago kuna jamaa yangu mmoja familia yake nzima ilikumbwa na ugonjwa wa kuharisha. Nikamwambia inawezekana pengine ni food poisoning...
7 Reactions
52 Replies
2K Views
Anonymous
DOKEZO KERO 
Ruhunga Secondary iliyoko katika Mkoa wa Kagera, Bukoba Vijijini, Tarafa Rubale, Kata ya Ruhunga, wana utaratibu kwa Wanafunzi wa madarasa yenye mitihani (Form 2 & 4) kuweka kambi Shuleni kwa...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
DuaZaMama
DOKEZO Responded 
Kwa kawaida, Bodi ya Ligi na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) wamekuwa wakitoa tuzo za msimu mara baada ya ligi kumalizika, lakini safari hii mambo yamekuwa kimya. Mashabiki na wadau...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Anonymous
DOKEZO 
Kumekuwa na changamoto mashuleni inayohusu chakula wanachokula wanafunzi kuwa na dawa ya kuhifadhia nafaka. Hii hutokana na utaratibu mbovu wa kuhifadhi mahindi unaofanywa na baadhi ya shule...
0 Reactions
1 Replies
464 Views
Back
Top Bottom