Danny greeny
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 3,856
- 1,648
Hiyo video iko wapi nipe link nikacheki.Pole yake ila tusi judge bila kujua chanzo maan hyo video inaonesha kuna kiyu walikusudia kufanya. Tusiangalie tu upande mmoja.
Hiyo video iko wapi nipe link nikacheki.Pole yake ila tusi judge bila kujua chanzo maan hyo video inaonesha kuna kiyu walikusudia kufanya. Tusiangalie tu upande mmoja.
Part 02 hiyo hapo http://https://jamii.app/JFUserGuide.blogspot.com/2016/05/sister-in-morogoro-region-has-been.htmlHiyo video iko wapi nipe link nikacheki.
jaman hzo video mbona hazipo? au kunawatu wamezizuia?Hizi video ukiziangalia unaweza kutoa machozi.
Huyu dada amedhalilishwa sana, ni zaidi ya ubakaji.
Adhabu iwe kali sana ili iwe fundisho kwa jamii nzima.
Kuzisambaza ni kuendelea kumdhalilisha.jaman hzo video mbona hazipo? au kunawatu wamezizuia?
sawa mkuu, ngoja tuzisubr kwenye groups zitakuja tu,Kuzisambaza ni kuendelea kumdhalilisha.
Hata huko msizisambazesawa mkuu, ngoja tuzisubr kwenye groups zitakuja tu,
Pole yake ila tusi judge bila kujua chanzo maan hyo video inaonesha kuna kiyu walikusudia kufanya. Tusiangalie tu upande mmoja.
Pole yake ila tusi judge bila kujua chanzo maan hyo video inaonesha kuna kiyu walikusudia kufanya. Tusiangalie tu upande mmoja.[/QUOT
Upande wa pili? Unamaanisha nini? hebu tukemee hizi tabia badala ya kukimbilia upande wa pili ambao hayta huujiu.Amefanya nini labda afanyiowe unyama huo? Hivi kuna watanzania wenye akilikama za kwako? So sad! Hata uliyeweka hiyo video ni haki kweli?
they r stupidyhawajamaa hawastahili kuwepo katika dunia.. harafu ujinga wanajichukua video bila kuficha sura zao
Na hasa kama mtuhumiwa/watuhumiwa ni wenye pesa za kuhonga.Kibongo bongo utashangaa kesi hiyo inafanyiwa uchunguzi, alafu inapotelea hewani.
Afrika unaijua au huwa unaisikia???.....Hapa Afrika hao wanahonga kwa laki moja tu na kurudi mtaani tayari kuendelea kuwatesa watu wengine!!!Video za nini?
Hao nguruwe washadakwa tayari ....kwanza wanapaswa wanyongwe tu...