Recent content by Zzulu

  1. Zzulu

    JamiiForums Tanzania Wanasimba wenzangu twendeni tukaujaze uwanja wa mkapa leo june 15

    sisi wenyeji, hatuna huo mda wa kuujaza uwanja, wasuburi kipigo cha mbwa koko
  2. Zzulu

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada wa kujua gross na net salary ya mtu mwenye basic ya 2,192,540 Tshs

    kuna walimu wapo wanauvuka huo
  3. Zzulu

    JamiiForums Tanzania Msimamo wa Yanga Taifa Kubwa,Hatuchezi hadi bodi ya Ligu ijiuzuru!

    last born
  4. Zzulu

    JamiiForums Tanzania Izi kibongo bongo ni how much

    nimekumbuka mbali, nlivokuwa mafunzon kwa vitendo, nikakutana na washkaj 2, mnapoanza field hamfahamiani ila baada ya kama wiki hivi tukaanza kuzoeana,, hadi mambo ya chai tukawa pamoja na stori za mbili3 za kimaisha tufanyi nini ili tutoboe mapema na kama unavojua ajiri ni mtiti, yule mmoja...
  5. Zzulu

    JamiiForums Tanzania Scout wa kujitolea wa Simba Sports Club

    uchambuzi mzuri,, ila swali langu hawa wacheza umewaonea wapi? labda huyo wa orlando pirates.
  6. Zzulu

    JamiiForums Tanzania Rais wa Yanga sc anaongeza Elimu ya Michezo chuo cha Harvard Business School

    nyie ndio mashabiki tunao wahitaji humu
  7. Zzulu

    JamiiForums Tanzania Full Time: Tanzania Stars 0 - 1 Madagascar | COSAFA 2025

    nlivoona kikosi nikajia tunakula 3,
  8. Zzulu

    JamiiForums Tanzania Nilikua najua masihara issue ya unfollow machawa. Nikachukua sample ya Milard Ayo. Aisee namba zinatembea!

    ila haiwezi shuka ikafikia 0, nakumbuka Manara alivotoka Simba walianza hizi pigo,, lakin hadi kesho Manara yule pale, followers kama wotee,, ni kaupepo tu kanapita,, mie sina kabisa hizo pigo za ku follow watu maarufu,, hata acc ya twitter haina watu kabisa, insta ivoivo tena longtime...
  9. Zzulu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, unajua kwamba huyo mke/mme uliye naye sasa sio wako?

    nikiona mtu anatafuta mwenza humu numuona dishi limeyumba kabisa,
  10. Zzulu

    JamiiForums Tanzania JF Connect: Ni Mwana JF yupi ungependa kukutana nae?

    HAPANA,
  11. Zzulu

    JamiiForums Tanzania Full Time: Tanzania 0 -0 South Afrika, mechi ya kirafiki kimataifa

    south africa ya Cosafa😳,, tushukuru hawajaeka full squad
  12. Zzulu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nifanyeje nipo KATAA NDOA lakini nataka mtoto nianzie wapi?

    gharama za nn zote hizo,, apate mkokoteni mwenzake,,, wakokotane kuanzia bar, clab n.k
Back
Top Bottom