Recent content by zyogo

  1. zyogo

    Sakata la Brexit: Theresa May, Waziri Mkuu wa Uingereza atangaza kujiuzulu'

    Sawa sawa ....ila nadhani BBC walio andaa makala ya.. 37 DAYS..COUNT DOWN TO WORLD WAR I..bila shaka wanakitu cha kujifunza toka kwako..Hongera sana.
  2. zyogo

    TAMISEMI wanadai wamesitisha uhamisho mbona Wafanyakazi wanahama kwa kulipia kuanzia Tsh 700,000 mpaka 1,000,000?

    kwan lazima uchangie?...mwenzako analalamika kaumizwa hafu kejeli ...haipendezi.
  3. zyogo

    Sakata la Brexit: Theresa May, Waziri Mkuu wa Uingereza atangaza kujiuzulu'

    demokrasia gani wakati mwenye nchi ni Queen...hilo ni kama baraza la madiwani hapa kwetu.
  4. zyogo

    Mamia ya mashirika ya kigeni yashiriki maonyesho ya kibiashara Korea Kaskazini Jee vikwazo vya USA vimeanza kufeli

    Rangi halisi itaanza kuonekana hasa katika mgogoro huu wa Iran pia Huawei
  5. zyogo

    Mamia ya mashirika ya kigeni yashiriki maonyesho ya kibiashara Korea Kaskazini Jee vikwazo vya USA vimeanza kufeli

    Jukwa la watu wenye fikra pana sioni kama niiungwana kuandika namna hii..
  6. zyogo

    Mabasi yenye kiyoyozi ni hatari!

    Hongera sana ndugu
  7. zyogo

    Mabasi yenye kiyoyozi ni hatari!

    Kumbe huyo Tesla mnaundugu..safiii
  8. zyogo

    Tujifunze nini kutokana na vita ya baridi ya kibiashara kati ya China na Marekani? Ni ombi langu usome yote

    Naam umeongea vema kabisa..natamani mno hoja hizo zifanikiwe ....lakini....kuna changamoto kufika hapo kwa nchi yenye makabila lukuku yenye mawazo ni lini na sisi tutapata rais ili maendeleo yaje kwetu pia...tafisiri nyingi za upinzani kiitikadi hazilengi maendeleo ya nchi ila jamii zetu. Tazama...
  9. zyogo

    Kwa miaka 50 au zaidi ijayo Marekani itabakia kua taifa lenye nguvu zaidi Duniani.

    Sikubaliani na hoja yako ndugu.. Kiu ya dunia ni Energy..mafuta,Uranium na gesi Na mafuta,gesi,Uranium zauzwa kwa dollar.Kutoka tafiti za Casey mpaka 2014 mzalishaji na hazina kubwa ya mafuta,Uranium na gesi ni; OIL 1.Russia 10 mil barrels/day(sweet,light oil) 2.Saudia 9 mil...
  10. zyogo

    Kwa miaka 50 au zaidi ijayo Marekani itabakia kua taifa lenye nguvu zaidi Duniani.

    Namna pekee ya kumwangusha Amerika ni kuacha kutumia export yao "Us dollar" nadhani kuna nchi zimeanza bilashaka.
  11. zyogo

    Miaka ya 80 TV zilikuwa bei gani?

    Daah umenikumbusha mbali kuna mwarabu wa Ujiji alikuwa na video shoo pale Kasulu miaka ya 86~88..akikukamata unachungulia basi .....sigara inavutwa mpaka inaiva barabara kisha anaizimia kwenye shavu..
  12. zyogo

    Zitto, mradi wa Bagamoyo na kisa cha Sultan Mangungo wa Msovero

    Hii ndo mambo tunataka kusoma ....asante sana
Back
Top Bottom