Kwa miaka 50 au zaidi ijayo Marekani itabakia kua taifa lenye nguvu zaidi Duniani.

The Assassin

JF-Expert Member
Oct 30, 2018
4,355
17,321
Hivi karibuni kumekua na tabia au kizazi cha kishabiki zaidi kuliko hoja. Watu wasioipenda Marekani kutokana na ubabe wake au vinginevyo nikiwemo mimi tulitamani kuona utawala wa dola ya washington ikianguka, tungefurahi zaidi kama ingeangukia China ambayo ndio inaonyesha angalau dalili za kuchukua hatamu, tena tungependa itokee mapema, aisee kumbe uhalisia uko vingine.

Sasa USA kutuonyesha sisi mashabiki uchwara wa China kua yeye bado boss ameanza kuishikisha adabu china kiuchumi, alianza kuliwekea vikwazo jeshi la China kwa kununua mitambo ya kijeshi toka Urusi, sasa ameamua kuipiga China kwa ujumla wake.

Toka nimezaliwa sijawahi kusimia kuna taifa limeiwekea vikwazo vya aina yoyote Marekani, ila yeye ana uwezo wa kuiwekea nchi yoyote hapa Duniani vikwazo, tena vikwazo vikali.

Wachina walizoea biashara ya kiujanja ujanja, tarrif man Trump ameamua kuwaonyesha kua biashara ya ujanja ujanja haina maana tena. Marekani ndie alikua anaiomba china isifanye protectionism, ifungue mipaka, China wakawa wanatumia udhaifu wa WTO kufanya biashara ya kijanja kijanja, Trump kwanza akaanza kujitoa WTO pili ameamua kuwabana wachina, wao sasa ndio wanaomba USA afungue mipaka.

Huo ni mbingo wa China moja kwa moja, bado hajaja kuwashinikiza washirika wake kuisusia China, kwa sasa taibana umoja wa Ulaya, baada ya hapo aje kwetu watumiaji wa tecno azuie misaada ya madawa na condom uone itakuaje.

Kwa sasa option pekee aliyonayo China ni kukubaliana na matakwa ya USA, vinginevyo amekwisha. Na kwenye mazungumzo ya kibiashara Marekani ndie anadictate terms China afuate, hataki aache.

Wale wenzangu tunaoiombea mabaya marekani tuendelee kuomba ila tutakufa bila kelele kama wafuasi wa kibwetere na USA bado ipo sana.
 
Hivi ujasijia kama mkutano wa makubaliano umefeli hawajaafikiana chochote.kila mtu kakaza
Marekani hawataki fursa sawa.wanaogopa ushindani wa kibiashara wanakimbilia kwenye vikwazo ili mradi kuwapunguza makali washindani wake wa kibiashara.
1.ushawishi wa doller unashuka japo kwa kiwango kidogo lakini hata mbuyu ulianza kama mchicha.
2.kila nchi kubwa zimeanza kitumia hela zao ndani badala ya kubadili kuwa doller kufanya manunuzi ni dalili nzuri japo itachukua mda kwa kuwa miamala mingi ulimwenguni zaidi ya 60% inafanywa kwa doller
 
  • Thanks
Reactions: RTI
Sasa mchina kukaza sindo kujichimbia kaburi uko? Mchina alitegemea slope hapo mwanzo kuenjoy soko la marekani,sasa janja janja zake zmepigwa pin aaanza kupapatika..ni kweli usa mwisho wake utakuepo,ila kama jamaa alivyosema ni badae sana
Na kwenye hii vita mchina ndie anaepata tabu.

Na hivi jana sijui trump kasain Sheria ya kutotumia device zote za huawei..Ngoma bado mbichi
Hivi ujasijia kama mkutano wa makubaliano umefeli hawajaafikiana chochote.kila mtu kakaza
Marekani hawataki fursa sawa.wanaogopa ushindani wa kibiashara wanakimbilia kwenye vikwazo ili mradi kuwapunguza makali washindani wake wa kibiashara.
1.ushawishi wa doller unashuka japo kwa kiwango kidogo lakini hata mbuyu ulianza kama mchicha.
2.kila nchi kubwa zimeanza kitumia hela zao ndani badala ya kubadili kuwa doller kufanya manunuzi ni dalili nzuri japo itachukua mda kwa kuwa miamala mingi ulimwenguni zaidi ya 60% inafanywa kwa doller
 
Sasa mchina kukaza sindo kujichimbia kaburi uko? Mchina alitegemea slope hapo mwanzo kuenjoy soko la marekani,sasa janja janja zake zmepigwa pin aaanza kupapatika..ni kweli usa mwisho wake utakuepo,ila kama jamaa alivyosema ni badae sana
Na kwenye hii vita mchina ndie anaepata tabu.

Na hivi jana sijui trump kasain Sheria ya kutotumia device zote za huawei..Ngoma bado mbichi
Akikaza amekwisha. Trump aliwaonya kadri wanavyozidi kuchelewesha mambo ndio wanajiongezea natatizo.

Ile slope ya kufanya janja janja nyingi sasa inafika mwisho.
 
Hivi karibuni kumekua na tabia au kizazi cha kishabiki zaidi kuliko hoja. Watu wasioipenda Marekani kutokana na ubabe wake au vinginevyo nikiwemo mimi tulitamani kuona utawala wa dola ya washington ikianguka, tungefurahi zaidi kama ingeangukia China ambayo ndio inaonyesha angalau dalili za kuchukua hatamu, tena tungependa itokee mapema, aisee kumbe uhalisia uko vingine.

Sasa USA kutuonyesha sisi mashabiki uchwara wa China kua yeye bado boss ameanza kuishikisha adabu china kiuchumi, alianza kuliwekea vikwazo jeshi la China kwa kununua mitambo ya kijeshi toka Urusi, sasa ameamua kuipiga China kwa ujumla wake.

Toka nimezaliwa sijawahi kusimia kuna taifa limeiwekea vikwazo vya aina yoyote Marekani, ila yeye ana uwezo wa kuiwekea nchi yoyote hapa Duniani vikwazo, tena vikwazo vikali.

Wachina walizoea biashara ya kiujanja ujanja, tarrif man Trump ameamua kuwaonyesha kua biashara ya ujanja ujanja haina maana tena. Marekani ndie alikua anaiomba china isifanye protectionism, ifungue mipaka, China wakawa wanatumia udhaifu wa WTO kufanya biashara ya kijanja kijanja, Trump kwanza akaanza kujitoa WTO pili ameamua kuwabana wachina, wao sasa ndio wanaomba USA afungue mipaka.

Huo ni mbingo wa China moja kwa moja, bado hajaja kuwashinikiza washirika wake kuisusia China, kwa sasa taibana umoja wa Ulaya, baada ya hapo aje kwetu watumiaji wa tecno azuie misaada ya madawa na condom uone itakuaje.

Kwa sasa option pekee aliyonayo China ni kukubaliana na matakwa ya USA, vinginevyo amekwisha. Na kwenye mazungumzo ya kibiashara Marekani ndie anadictate terms China afuate, hataki aache.

Wale wenzangu tunaoiombea mabaya marekani tuendelee kuomba ila tutakufa bila kelele kama wafuasi wa kibwetere na USA bado ipo sana.
Wewe ndio unaongea kwa ushabiki na sio hoja dunia ya sasa kumkwepa mchina ni jambo ambalo haliwezekani hata kidogo.
Wewe una ongelea upande mmoja tu wa China mbona uongelei kuporomoka kwa masoko ya hisa ya marekani?kunako sababishwa na vita vya kibiashara kati ya mataifa hayo?China kwa sasa sio wa kushusha kiurahisi kihivyo kama unavyo fikiri,
ebu fikiri tangu marekani ameanza kuiwekea vikwazo china sarafu ya China haijawahi kutikisika hata kidogo,
tofauti na Urusi ,Uturuki na Iran ambao sarafu zao zilishuka kutokana na vikwazo vya marekani,hili ni dhibitisho ya kwamba China in imara kiuchumi ukilinganisha na mataifa mengine.
Alafu kingine tuachage kushabikia mambo ambayo hatujui nini madhara yake , ukiona mtu yeyote kutoka barani afirika anafurahia anguko la China basi uyo ni mpumbavu wa kiwango cha rami.
Hivi china ikitokea akaanguka kiuchumi Africa itapona?China iliyo imara ni muhimu kwa Afrika bila kujali wakoje,
China imeturahisishia sana maisha hasa sisi masikini.
Hata wewe sasa hivi kama sikosei unategema kila kitu kutoka China ili kuendesha maisha yako na si kutoka marekani,badhaa kutoka marekani ni wachache mno wanao weza kuzimudu kwa sababu ni ghali sana.
Hata hizi simu janja bila ya mchina akina sisi kungekuwa tuaziona kwemye video,kwa hiyo unatakiwa utambue ya kwamba China akianguka na we we kutoka bara la giza utapata tabu sana.
 
Wewe ndio unaongea kwa ushabiki na sio hoja dunia ya sasa kumkwepa mchina ni jambo ambalo haliwezekani hata kidogo.
Wewe una ongelea upande mmoja tu wa China mbona uongelei kuporomoka kwa masoko ya hisa ya marekani?kunako sababishwa na vita vya kibiashara kati ya mataifa hayo?China kwa sasa sio wa kushusha kiurahisi kihivyo kama unavyo fikiri,
ebu fikiri tangu marekani ameanza kuiwekea vikwazo china sarafu ya China haijawahi kutikisika hata kidogo,
tofauti na Urusi ,Uturuki na Iran ambao sarafu zao zilishuka kutokana na vikwazo vya marekani,hili ni dhibitisho ya kwamba China in imara kiuchumi ukilinganisha na mataifa mengine.
Alafu kingine tuachage kushabikia mambo ambayo hatujui nini madhara yake , ukiona mtu yeyote kutoka barani afirika anafurahia anguko la China basi uyo ni mpumbavu wa kiwango cha rami.
Hivi china ikitokea akaanguka kiuchumi Africa itapona?China iliyo imara ni muhimu kwa Afrika bila kujali wakoje,
China imeturahisishia sana maisha hasa sisi masikini.
Hata wewe sasa hivi kama sikosei unategema kila kitu kutoka China ili kuendesha maisha yako na si kutoka marekani,badhaa kutoka marekani ni wachache mno wanao weza kuzimudu kwa sababu ni ghali sana.
Hata hizi simu janja bila ya mchina akina sisi kungekuwa tuaziona kwemye video,kwa hiyo unatakiwa utambue ya kwamba China akianguka na we we kutoka bara la giza utapata tabu sana.
Huna unachokielewa mama angu. Hivi hovyo hovyo zako tafta namna ya kuziboresha. Haya mambo ya uchumi wa Dunia yako juu ya uwezo wako wa akili kuelewa.
 
Huan unachokielewa mama angu. Hivi hovyo hovyo zako tafta namna ya kuziboresha. Haya mambo ya uchumi wa Dunia yako juu ya uwezo wako wa akili kuelewa.
Wewe jamaa umezidiwa hoja na RTI ndio maana umeanza kutumia lugha tata.

Pangua hoja zake kama yeye alivyofanya. Kakupa mfano kuhusu uimara wa sarafu ya china hata baada ya vikwazo n.k.

Amekupa umuhimu wa China kwa bara la Afrika.

Mimi nakuongezea taarifa. Wachina wamepata zabuni ya kujenga bandari kubwa kuliko zote Israel kwa mshirika mkubwa wa Marekani. Wataiendesha wao kwa miaka takribani 20, marekani wanalialia watadhohofishwa mikakati yao ya usalama mashariki ya kati.

Kama China anakuwa na ushawishi wa namna hiyo kwa Israel basi ni ishara ya kuwa na nguvu sana.
 
Huan unachokielewa mama angu. Hivi hovyo hovyo zako tafta namna ya kuziboresha. Haya mambo ya uchumi wa Dunia yako juu ya uwezo wako wa akili kuelewa.
Wewe ndo uwelewa wako ni mdogo mno na ndio maana hujui hata humuhimu wa China katika maisha yako ya kila siku na ndio maana umekalia ushabiki wa kipumbavu.
Wewe hapo ulipo ni ngumu sana kuishi maisha ya kila siku bila kuitegemea China.
 
Wewe jamaa umezidiwa hoja na RTI ndio maana umeanza kutumia lugha tata.

Pangua hoja zake kama yeye alivyofanya. Kakupa mfano kuhusu uimara wa sarafu ya china hata baada ya vikwazo n.k.

Amekupa umuhimu wa China kwa bara la Afrika.

Mimi nakuongezea taarifa. Wachina wamepata zabuni ya kuhenga bandari kubwa kuliko zote Israel kwa mshirika mkubwa wa Marekani. Wataiendesha wai kwa miaka takribani 20, marekani wanalialia watadhohofishwa mikakati yao ta usalama mashariki ya kati.

Kama China anakuwa na ushawishi wa namna hiyo kwa Israel basi ni ishara ya kuwa na nguvu sana.
Kweli jamii forum imejaa watu wengi wenye akili ndogo na uelewa mdogo.

Sasa wewe unaona kuna hoja yoyote alioiandika huyo ndugu? Kama kuna hoja unaona basi akili yako na yake havuna tofauti. Rudini shuleni mkaongeze maarifa na mjifunze kujenga hoja kisomi.
 
Wachina weshasema wamechoka kuongea na marekani,watafanya biashara na yeyote anaetaka,na kwa msisitizo supertaanker ya mafuta ya iran leo imechomoka ikiwa fulltank kuelekea china,na wakati huohuo jana tanker lingine lilikuwa bandarini china lkimezuiwa kushusha mafuta jana wameshusha mafuta,kwa upande mwingine wakulima wa maharage na nguruwe huko marwkani hawana tena pa kuuzia baada ya china kuweka kodi
 
Kweli jamii forum imejaa watu wengi wenye akili ndogo na uelewa mdogo.

Sasa wewe unaona kuna hoja yoyote alioiandika huyo ndugu? Kama kuna hoja unaona basi akili yako na yake havuna tofauti. Rudini shuleni mkaongeze maarifa na mjifunze kujenga hoja kisomi.
Bado tu unaendelea kunabwabwaja tu bila hoja.
Huwezi kufurahia anguko la china wakati maisha yako ya kila siku yanategemea bidhaa kutoka China alafu ukajiona ni mwenye akili.
Sasa hivi tunavyo ongea wakulima wa marekani wanalalamika kupata hasara kubwa kutokana na vikwazo vya China.
 
Ama kuhusu wamarekani kuiwekea vikwazo Huawei,ishu ni kuwa wamarekani walijua watakuwa wa kwanza kuingiza technology ya 5G sokoni,ikatokea Huawei akawapiga bao baada ya kuwahi na kuanza kuweka miundo mbinu ya 5G huko ulaya wakati wao bado technology inawachanganya vichwa,ndo wakaanza kuipiga majungu eti ulaya waikatae huawei,nchi za ulaya kama uingereza,germany,italy zikagoma kuikatalia huawei,
marekani kuona kuwa atapigwa gap la technology hiyo ya 5G,akatishia kuwa nchi za ulaya zitazofanya biashara na huawei hatashirikiana nazo kushare intelligence,nchi za ulaya wakala mstand,
matokeo ndo juzi kaamua kuweka vikwazo,
lakini ndo hivyo Huawei anapeperusha bendera ya 5G technology wakati wao bado wako maabara
 
Kweli jamii forum imejaa watu wengi wenye akili ndogo na uelewa mdogo.

Sasa wewe unaona kuna hoja yoyote alioiandika huyo ndugu? Kama kuna hoja unaona basi akili yako na yake havuna tofauti. Rudini shuleni mkaongeze maarifa na mjifunze kujenga hoja kisomi.
Sawa tutarudi shule kuwafundisha watu kama wewe namna ya kufanya mijadala kwa hoja sio kashifa au dharau.

Kipimo cha usomi ni mijadala yenye kuambiana ukweli lakini kutumia lugha yenye kuheshimu utu, kiufupi lugha yenye staha.

Kwa jinsi nilivyoona lugha yako ulivyo mshambulia jamaa baada ya kukuwekea 'facts' nimeshajua wewe sio msomi. Ukijitahidi sana una bachelor degree tena sio kwamba ume elimika ila ulihudhuria shule au chuo ukahitimu tu.

Sijawahi kuona mijadala kama yako ktk jumuiya za wanazuoni/wasomi.
 
Niliidharau sana China pale waliposhindwa kuwabeba Zimbabwe kiuchumi baada ya kuadhibiwa na nchi za magharibi hadi uchumi wa Zimbabwe ukafa kabisa.

China ni hopeless sana na hawana msaada kwa rafiki yeyote yule anapojikuta matatani na wazungu na hili leo tunaliona kwa Venezuela pia ambao uchumi wao umesambaratika kabisa huku China akimdanganya na urafiki feki na hata Cuba vile vile.

China hawana lolote na ni jamii ya watu wenye asili ya kuwa na roho mbaya sana wakifuatiwa na waarabu. Kimsingi ni jamii ya watu ambao ni bure ni hakuna mfano.
 
Wachina ni watu wa janja janja tu ndo maana hata hapa kwetu katika vitu ambavyo nampongeza Magufuli ni kutowapa ule mradi wa Reli.

Hayo mafuta ya Iran wananunua kwa Bei ya kuwalalia. Huko Asia vinchi masikini vimeshaanza kushtuka na kupitia upya miradi na mikataba yao ya BRI kwamba imejaa ukanjanja na thamani ya mradi na unachojengewa hakiendani. Majuzi hapa Pakistani aliona anawekwa kwenye mtego wa madeni na China kaamua kurudi na kuwapigia tena magoti IMF,nayo pia Kuna miradi inaifuatilia. Malaysia ilikataa miradi ya $20bilion.

Hii Vita ya biashara inawaathiri wote wawili China na Marekani ila kwa 'long term' China ndio itaumia zaidi sababu inategemea sana biashara hasa soko la Marekani kuuza bidhaa zake tofauti na Marekani. Na sasa hivi baadhi wawekezaji wameanza kuondoa uzalishaji wao China kwenda nchi za karibu kama Taiwan,Indonesia,nk. Pia kingine sasa hv China middle class wameanza kua wengi hivyo kuongeza gharama kwenye uzalishaji ukilinganisha na nchi jirani zake kama India,nk. Uzuri China ina skilled labor wengi!....
 
Wachina ni watu wa janja janja tu ndo maana hata hapa kwetu katika vitu ambavyo nampongeza Magufuli ni kutowapa ule mradi wa Reli.

Hayo mafuta ya Iran wananunua kwa Bei ya kuwalalia. Huko Asia vinchi masikini vimeshaanza kushtuka na kupitia upya miradi na mikataba yao ya BRI kwamba imejaa ukanjanja na thamani ya mradi na unachojengewa hakiendani. Majuzi hapa Pakistani aliona anawekwa kwenye mtego wa madeni na China kaamua kurudi na kuwapigia tena magoti IMF,nayo pia Kuna miradi inaifuatilia. Malaysia ilikataa miradi ya $20bilion.

Hii Vita ya biashara inawaathiri wote wawili China na Marekani ila kwa 'long term' China ndio itaumia zaidi sababu inategemea sana biashara hasa soko la Marekani kuuza bidhaa zake tofauti na Marekani. Na sasa hivi baadhi wawekezaji wameanza kuondoa uzalishaji wao China kwenda nchi za karibu kama Taiwan,Indonesia,nk. Pia kingine sasa hv China middle class wameanza kua wengi hivyo kuongeza gharama kwenye uzalishaji ukilinganisha na nchi jirani zake kama India,nk. Uzuri China ina skilled labor wengi!....
Wewe ndio unaongea kwa hoja na si wengine kuja wanao tumwa na mihemuko.
 
Namna pekee ya kumwangusha Amerika ni kuacha kutumia export yao "Us dollar" nadhani kuna nchi zimeanza bilashaka.
 
Namna pekee ya kumwangusha Amerika ni kuacha kutumia export yao "Us dollar" nadhani kuna nchi zimeanza bilashaka.
Sio jambo la leo au kesho. Huko nyuma mifumo mingi tu ya biashara ya Duniani ilijaribiwa ila ikashindikana. Kwa sasa mfumo pekee imara ni dollarization na hakuna mwingine ambao umejatibiwa au uko kwenye hatua za matumizi na ujue kwa uchumi wa sasa uko intergrated hakuna nchi itakubali kuharibu uchumi wake kwa mambo ya kifala kifala.

Kula kitu kinawezekana ila sio kwa sasa.
 
Back
Top Bottom