Mamia ya mashirika ya kigeni yashiriki maonyesho ya kibiashara Korea Kaskazini Jee vikwazo vya USA vimeanza kufeli

kimsboy

JF-Expert Member
Oct 17, 2016
8,991
17,888
Mamia ya mashirika ya kigeni yashiriki maonyesho ya kibiashara Korea Kaskazini
Mei 23, 2019 08:08 UTC
Vyombo vya habari nchini Korea Kaskazini vimeripoti kwamba mamia ya mashirika ya kigeni kutoka nchi tofauti yameshiriki maonyesho ya kimataifa ya kibiashara nchini humo licha ya vikwazo vya Marekani dhidi ya serikali ya Pyongyang.
Shirika la Habari la nchi hiyo KCNA limeripoti kwamba zaidi ya mashirika 450 kutoka nchi za China, Russia, Pakistan, Poland na nchi nyingine za dunia yalipeleka bidhaa zao katika maonyesho ya 22 ya kimataifa ya kibiashara yaliyofanyika mjini Pyongyang hivi karibuni. Shirika hilo la serikali, limeongeza kwamba maonyesho hayo yalifunguliwa na viongozi wa ngazi za juu wa sekta ya kiuchumi wa nchi hiyo. Chunguzi rasmi zilizofanywa kuanzia mwaka 2007 hadi 2019, zinaonyesha kwamba maonyesho ya kibiashara ya mwaka huu mjini Pyongyang ndio makubwa zaidi kutokana na ushiriki mkubwa wa mashirika ya kigeni. Hii ni katika hali ambayo katika maonyesho kama hayo ya mwaka jana mjini Pyongyang ni mashirika 260 pekee ndio yaliyohudhuria.
Maonyesho hayo makubwa ya kimataifa yamejiri huku Marekani ikiwa imeshadidisha vikwazo na mashinikizo ya kiuchumi dhidi ya Korea Kaskazini kwa lengo la kuifanya nchi hiyo ikubali kuipigia magoti. Wakati huo huo mwakilishi wa Korea Kaskazini katika Umoja wa Mataifa mjini Geneva Uswisi, ameionya serikali ya Marekani kubadili mitazamo na fikra zake kuihusu nchi hiyo badala ya kutumia vitisho na mabavu. Tae Song amesisitiza kwamba Washington inatakiwa kuchukua uamuzi muhimu kuhusiana na kuondoa vikwazo vyake dhidi ya Pyongyang kabla ya kuanza upya mazungumzo ya pande mbili. Song amezidi kufafanua kuwa, utumiwaji wa lugha za kibabe unaofanywa na Marekani ni kosa kubwa na kusisitiza kuwa hatua ya Washington ya kutwaa meli ya Korea Kaskazini, ni kikwazo kingine kikubwa katika kuboreshwa uhusiano wa pande mbili.
4bshc1beb8409b1fcmf_800C450.jpg
4bshca73e019281fcmg_800C450.jpg



My take:Najikuta nacheka tu maana vikwazo vya USA vimeanza kufeli duniani yaani nchi nyingi zimeshaanza kuipuuza marekani
 
We jitekenye tu na kujichekesha mwenyewe kujifariji maana huenda Marekani hauifahamu au una mrengo flani ndani yako unakusukuma kuifikiria/kuitakia ubaya kitu ambacho ni sawa na dua la kuku kumpata mwewe.
Mamia ya mashirika ya kigeni yashiriki maonyesho ya kibiashara Korea Kaskazini
Mei 23, 2019 08:08 UTC
Vyombo vya habari nchini Korea Kaskazini vimeripoti kwamba mamia ya mashirika ya kigeni kutoka nchi tofauti yameshiriki maonyesho ya kimataifa ya kibiashara nchini humo licha ya vikwazo vya Marekani dhidi ya serikali ya Pyongyang.
Shirika la Habari la nchi hiyo KCNA limeripoti kwamba zaidi ya mashirika 450 kutoka nchi za China, Russia, Pakistan, Poland na nchi nyingine za dunia yalipeleka bidhaa zao katika maonyesho ya 22 ya kimataifa ya kibiashara yaliyofanyika mjini Pyongyang hivi karibuni. Shirika hilo la serikali, limeongeza kwamba maonyesho hayo yalifunguliwa na viongozi wa ngazi za juu wa sekta ya kiuchumi wa nchi hiyo. Chunguzi rasmi zilizofanywa kuanzia mwaka 2007 hadi 2019, zinaonyesha kwamba maonyesho ya kibiashara ya mwaka huu mjini Pyongyang ndio makubwa zaidi kutokana na ushiriki mkubwa wa mashirika ya kigeni. Hii ni katika hali ambayo katika maonyesho kama hayo ya mwaka jana mjini Pyongyang ni mashirika 260 pekee ndio yaliyohudhuria.
Maonyesho hayo makubwa ya kimataifa yamejiri huku Marekani ikiwa imeshadidisha vikwazo na mashinikizo ya kiuchumi dhidi ya Korea Kaskazini kwa lengo la kuifanya nchi hiyo ikubali kuipigia magoti. Wakati huo huo mwakilishi wa Korea Kaskazini katika Umoja wa Mataifa mjini Geneva Uswisi, ameionya serikali ya Marekani kubadili mitazamo na fikra zake kuihusu nchi hiyo badala ya kutumia vitisho na mabavu. Tae Song amesisitiza kwamba Washington inatakiwa kuchukua uamuzi muhimu kuhusiana na kuondoa vikwazo vyake dhidi ya Pyongyang kabla ya kuanza upya mazungumzo ya pande mbili. Song amezidi kufafanua kuwa, utumiwaji wa lugha za kibabe unaofanywa na Marekani ni kosa kubwa na kusisitiza kuwa hatua ya Washington ya kutwaa meli ya Korea Kaskazini, ni kikwazo kingine kikubwa katika kuboreshwa uhusiano wa pande mbili.View attachment 1105386View attachment 1105387


My take:Najikuta nacheka tu maana vikwazo vya USA vimeanza kufeli duniani yaani nchi nyingi zimeshaanza kuipuuza marekani
 
MKUU NISHAWAHI KUONA ANDIKO LAKO UNALILIA DOLA KUPAA NA TZSH KUSHUKA,LAKINI HAULILII HELA YA TEHRAN UNALILIA HELA YA KIDUME MMAREKANI,

NA HAPO USIKUTE UNAKATECNO AMBACHO KINA SYSTEM YA MMAREKANI UNATUMIA KUPIGA UMBEA HAPA, NA HAPO YAWEZEKANA UNALALIA NETI NA UNATUMIA VIDONGE VILE KWA MSAADA WA WATU WAMAREKANI

LOOK YOUR BACK
Mamia ya mashirika ya kigeni yashiriki maonyesho ya kibiashara Korea Kaskazini
Mei 23, 2019 08:08 UTC
Vyombo vya habari nchini Korea Kaskazini vimeripoti kwamba mamia ya mashirika ya kigeni kutoka nchi tofauti yameshiriki maonyesho ya kimataifa ya kibiashara nchini humo licha ya vikwazo vya Marekani dhidi ya serikali ya Pyongyang.
Shirika la Habari la nchi hiyo KCNA limeripoti kwamba zaidi ya mashirika 450 kutoka nchi za China, Russia, Pakistan, Poland na nchi nyingine za dunia yalipeleka bidhaa zao katika maonyesho ya 22 ya kimataifa ya kibiashara yaliyofanyika mjini Pyongyang hivi karibuni. Shirika hilo la serikali, limeongeza kwamba maonyesho hayo yalifunguliwa na viongozi wa ngazi za juu wa sekta ya kiuchumi wa nchi hiyo. Chunguzi rasmi zilizofanywa kuanzia mwaka 2007 hadi 2019, zinaonyesha kwamba maonyesho ya kibiashara ya mwaka huu mjini Pyongyang ndio makubwa zaidi kutokana na ushiriki mkubwa wa mashirika ya kigeni. Hii ni katika hali ambayo katika maonyesho kama hayo ya mwaka jana mjini Pyongyang ni mashirika 260 pekee ndio yaliyohudhuria.
Maonyesho hayo makubwa ya kimataifa yamejiri huku Marekani ikiwa imeshadidisha vikwazo na mashinikizo ya kiuchumi dhidi ya Korea Kaskazini kwa lengo la kuifanya nchi hiyo ikubali kuipigia magoti. Wakati huo huo mwakilishi wa Korea Kaskazini katika Umoja wa Mataifa mjini Geneva Uswisi, ameionya serikali ya Marekani kubadili mitazamo na fikra zake kuihusu nchi hiyo badala ya kutumia vitisho na mabavu. Tae Song amesisitiza kwamba Washington inatakiwa kuchukua uamuzi muhimu kuhusiana na kuondoa vikwazo vyake dhidi ya Pyongyang kabla ya kuanza upya mazungumzo ya pande mbili. Song amezidi kufafanua kuwa, utumiwaji wa lugha za kibabe unaofanywa na Marekani ni kosa kubwa na kusisitiza kuwa hatua ya Washington ya kutwaa meli ya Korea Kaskazini, ni kikwazo kingine kikubwa katika kuboreshwa uhusiano wa pande mbili.View attachment 1105386View attachment 1105387


My take:Najikuta nacheka tu maana vikwazo vya USA vimeanza kufeli duniani yaani nchi nyingi zimeshaanza kuipuuza marekani
 
We jitekenye tu na kujichekesha mwenyewe kujifariji maana huenda Marekani hauifahamu au una mrengo flani ndani yako unakusukuma kuifikiria/kuitakia ubaya kitu ambacho ni sawa na dua la kuku kumpata mwewe.
Tatizo wewe ni kama kupe tu..habari imeeleweka vizuri tu mzee baba ulikua hujui vikwazo vimeshaanza kufeli hahahaha umeona maonyesho ya kibiashara hayo?au unajamba jamba?hahahaha nyie wafia USA mna tabu kweli...mimi huwa nachekaga tu mnailamba miguu Washington ambayo vikwazo vyake vishaanza kupuuzwa
 
MKUU NISHAWAHI KUONA ANDIKO LAKO UNALILIA DOLA KUPAA NA TZSH KUSHUKA,LAKINI HAULILII HELA YA TEHRAN UNALILIA HELA YA KIDUME MMAREKANI,

NA HAPO USIKUTE UNAKATECNO AMBACHO KINA SYSTEM YA MMAREKANI UNATUMIA KUPIGA UMBEA HAPA, NA HAPO YAWEZEKANA UNALALIA NETI NA UNATUMIA VIDONGE VILE KWA MSAADA WA WATU WAMAREKANI

LOOK YOUR BACK
Omg....sometimes you are becoming pimbi yes...kwasababu kushuka kwa shilingi ya Tz dhidi ya dola kuna tatizo gani na kuna connection gani na nilichokiandika?are gone mad???hahaha it is better to shut up your mouth kama huwezi kudiscuss issue za msingi unaingiza personal attack choko wewe...by the way hizo dawa za usaid unameza wewe mvivu wa maarifa.....sio mimi
 
MKUU NISHAWAHI KUONA ANDIKO LAKO UNALILIA DOLA KUPAA NA TZSH KUSHUKA,LAKINI HAULILII HELA YA TEHRAN UNALILIA HELA YA KIDUME MMAREKANI,

NA HAPO USIKUTE UNAKATECNO AMBACHO KINA SYSTEM YA MMAREKANI UNATUMIA KUPIGA UMBEA HAPA, NA HAPO YAWEZEKANA UNALALIA NETI NA UNATUMIA VIDONGE VILE KWA MSAADA WA WATU WAMAREKANI

LOOK YOUR BACK
At least you shud shut up your mouth tecno unatumiaga wewe....
-2106156638-582437367.jpg
-21061566382028007379.jpg
-21061566381211115002.jpg
 
MKUU NISHAWAHI KUONA ANDIKO LAKO UNALILIA DOLA KUPAA NA TZSH KUSHUKA,LAKINI HAULILII HELA YA TEHRAN UNALILIA HELA YA KIDUME MMAREKANI,

NA HAPO USIKUTE UNAKATECNO AMBACHO KINA SYSTEM YA MMAREKANI UNATUMIA KUPIGA UMBEA HAPA, NA HAPO YAWEZEKANA UNALALIA NETI NA UNATUMIA VIDONGE VILE KWA MSAADA WA WATU WAMAREKANI

LOOK YOUR BACK
Jukwa la watu wenye fikra pana sioni kama niiungwana kuandika namna hii..
 
Mamia ya mashirika ya kigeni yashiriki maonyesho ya kibiashara Korea Kaskazini
Mei 23, 2019 08:08 UTC
Vyombo vya habari nchini Korea Kaskazini vimeripoti kwamba mamia ya mashirika ya kigeni kutoka nchi tofauti yameshiriki maonyesho ya kimataifa ya kibiashara nchini humo licha ya vikwazo vya Marekani dhidi ya serikali ya Pyongyang.
Shirika la Habari la nchi hiyo KCNA limeripoti kwamba zaidi ya mashirika 450 kutoka nchi za China, Russia, Pakistan, Poland na nchi nyingine za dunia yalipeleka bidhaa zao katika maonyesho ya 22 ya kimataifa ya kibiashara yaliyofanyika mjini Pyongyang hivi karibuni. Shirika hilo la serikali, limeongeza kwamba maonyesho hayo yalifunguliwa na viongozi wa ngazi za juu wa sekta ya kiuchumi wa nchi hiyo. Chunguzi rasmi zilizofanywa kuanzia mwaka 2007 hadi 2019, zinaonyesha kwamba maonyesho ya kibiashara ya mwaka huu mjini Pyongyang ndio makubwa zaidi kutokana na ushiriki mkubwa wa mashirika ya kigeni. Hii ni katika hali ambayo katika maonyesho kama hayo ya mwaka jana mjini Pyongyang ni mashirika 260 pekee ndio yaliyohudhuria.
Maonyesho hayo makubwa ya kimataifa yamejiri huku Marekani ikiwa imeshadidisha vikwazo na mashinikizo ya kiuchumi dhidi ya Korea Kaskazini kwa lengo la kuifanya nchi hiyo ikubali kuipigia magoti. Wakati huo huo mwakilishi wa Korea Kaskazini katika Umoja wa Mataifa mjini Geneva Uswisi, ameionya serikali ya Marekani kubadili mitazamo na fikra zake kuihusu nchi hiyo badala ya kutumia vitisho na mabavu. Tae Song amesisitiza kwamba Washington inatakiwa kuchukua uamuzi muhimu kuhusiana na kuondoa vikwazo vyake dhidi ya Pyongyang kabla ya kuanza upya mazungumzo ya pande mbili. Song amezidi kufafanua kuwa, utumiwaji wa lugha za kibabe unaofanywa na Marekani ni kosa kubwa na kusisitiza kuwa hatua ya Washington ya kutwaa meli ya Korea Kaskazini, ni kikwazo kingine kikubwa katika kuboreshwa uhusiano wa pande mbili.View attachment 1105386View attachment 1105387


My take:Najikuta nacheka tu maana vikwazo vya USA vimeanza kufeli duniani yaani nchi nyingi zimeshaanza kuipuuza marekani
Rangi halisi itaanza kuonekana hasa katika mgogoro huu wa Iran pia Huawei
 
Nchi gani zimehudhuria ukiacha urusi china na pakistan ambao wanajulikana ni washirika wa kibiashara wa North Korea.

Weka source nyingine ukiacha ya shirika la habari la taifa. Ni kama TBC wakisema uchumi wa TZ unapaa, hiyo habari utaisoma kwa mashaka
Tatizo wewe ni kama kupe tu..habari imeeleweka vizuri tu mzee baba ulikua hujui vikwazo vimeshaanza kufeli hahahaha umeona maonyesho ya kibiashara hayo?au unajamba jamba?hahahaha nyie wafia USA mna tabu kweli...mimi huwa nachekaga tu mnailamba miguu Washington ambayo vikwazo vyake vishaanza kupuuzwa
 
Nchi gani zimehudhuria ukiacha urusi china na pakistan ambao wanajulikana ni washirika wa kibiashara wa North Korea.

Weka source nyingine ukiacha ya shirika la habari la taifa. Ni kama TBC wakisema uchumi wa TZ unapaa, hiyo habari utaisoma kwa mashaka
Kama hiyo source huiamini ufyate mbele unafikiri mashirika mengine ni kama tbccm ambao wao ni kusifia tu si ndio?
 
Nilijua upande uliopo nimekugusa kudogo umefunguka. Huwezi kuiangusha USA kupitia chuki, washafeli wababe wengi tu wa upande wako na wengine ni marehemu.
Tatizo wewe ni kama kupe tu..habari imeeleweka vizuri tu mzee baba ulikua hujui vikwazo vimeshaanza kufeli hahahaha umeona maonyesho ya kibiashara hayo?au unajamba jamba?hahahaha nyie wafia USA mna tabu kweli...mimi huwa nachekaga tu mnailamba miguu Washington ambayo vikwazo vyake vishaanza kupuuzwa
 
Kama hiyo source huiamini ufyate mbele unafikiri mashirika mengine ni kama tbccm ambao wao ni kusifia tu si ndio?

naona unakuja na kejeli badala ya kujibu hoja. lazima unapotetea kitu uwe na multiple evidence and sources of information
 
Back
Top Bottom