Statistics
JF-Expert Member
- Sep 22, 2013
- 3,762
- 8,013
mwaka 1980 aliyekuwa na TV DSM nzima ni mwanaume kutoka butiama.
Umeiita Buzz mwanzoni iliitwa Mobitel. Na hata simu tuliziita Mobitel [emoji12][emoji3][emoji23][emoji1787].By that time kumiliki Tv ilikuwa hatar very very expensive, zilikuwa kama ilivyokuwa kwa simu .
Maana tv za laki 3 au 5 kipindi ile ndio sasa 50k au 30k, zile philips toshiba ,sony chogo ila zilikuwa za ukweli.
Na simu ilikuwa inakunyonya kama 5000 kwa siku wether umetumia au hujatumia inakukata tu.celtel na buzz ndio wako hewan masimu meng ni siemens and sony erickson kabla nokia hajakuja kutuokoa
Na hizo simcard zilikuwa kubwa kama card za benk
[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daah mkuu unataka nipewe notice ya kuhama nilipopanga?Nakumbuka nlishawahi kupigwa kibao kimoja kitakatifu na MTU ambaye simfaham hadi leo kisa nilisimama mbele ya projector wakati wanaangalia muvi,sintakaa nisahau early 90s!
Ahahahaaaa [emoji12][emoji3][emoji23][emoji1787].mwaka 1980 aliyekuwa na TV DSM nzima ni mwanaume kutoka butiama.
Ebana ee $800 miaka hiyo mkuu ulikua /wewe ni tajiri sana ..au umekosea digits.Nakumbuka mwaka 1986 nilipeleka home tv ya 32 inch na nilinunua kwa $800 na deki ya Hitachi sikumbuki bei
Sio DSM sema Tz mkuu.mwaka 1980 aliyekuwa na TV DSM nzima ni mwanaume kutoka butiama.
Pole mkuuNakumbuka nlishawahi kupigwa kibao kimoja kitakatifu na MTU ambaye simfaham hadi leo kisa nilisimama mbele ya projector wakati wanaangalia muvi,sintakaa nisahau early 90s!
Sio utajiri mkuu nilikuwa nafanyakazi uarabuni na tv zilikuwa ni jambo la kawaida sanaEbana ee $800 miaka hiyo mkuu ulikua /wewe ni tajiri sana ..au umekosea digits.
Kwann mkuu!!?[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daah mkuu unataka nipewe notice ya kuhama nilipopanga?
Sio utajiri mkuu nilikuwa nafanyakazi uarabuni na tv zilikuwa ni jambo la kawaida sana
Mkuu hata simu za mkononi zilipotoka nakumbuka na nilibahatika kuwa na moja niliuziwa na mshkaji wangu mmoja
Kwann mkuu!!?
Najua mkuu nakumbuka hiyo tv ilidumu zaidi ya miaka 20 ikitumikaHongera mkuu kilichonishangaza $800 kwa wakati huo nahisi $1=500-1000 ko ni kama pesa taslimu 800,000/- au 400000/-
Kipindi hiko mshahara wa mwalimu tsh haukuzidi hata 50,000/-
Kama ulikua abroad ni sawa ila kama kibongo huku mzee ningeshtuka sana.
Kabisa mkuu, mimi mshua wetu alipewa zawadi na wajapani kipindi wamekuja kuweka mradi wa maji vijijini 90's (aliwapa hifadhi bila malipo mmoja wao alipokuja Tanzania wakamfanyia sapraizi) Tv ilikua kampuni ya Panasonic ..aisee japo tulikua tunatumia jenereta haikuharibika i mpaka leo ipogo tu japo haitumiki ni imara hasa.Najua mkuu nakumbuka hiyo tv ilidumu zaidi ya miaka 20 ikitumika
Kwa sasa tv zimeshuka bei ingawa zimeboreshwa lakini kwa sababu ya competition na makampuni mengi kuongezeka zinaonekana ziko chini sana kwa bei
Yaani enzi hizo unashuka na mzigo unapita tu hata huulizwi kitu maana nilikuja na vitu vingi na immigration officer aligonga muhuri passport na kuandika returning home, how good was that
Alikosea sana nyerereJamaa anaulizia TV wakati hata sukari ilikuwa mpaka kwa foleni. Mataifa yanayotuzunguka walikuwa na TV stations except Tanganyika . Wakati huo huo tukipigana vita kukomboa mataifa yasio na shukuruni.
Ukisema hivyo wafia chama siyo taifa, watakumeza mzima mzima. Ni mwenye heri na hivi karibuni atatangazwa mtakatifu.Alikosea sana nyerere
Shauri yao mkuu, lakini huo ndio ukweliUkisema hivyo wafia chama siyo taifa, watakumeza mzima mzima. Ni mwenye heri na hivi karibuni atatangazwa mtakatifu.
Wakati huo Panasonic, Toshiba, Sony na Sanyo ndio zilikuwa zinatamba sanaKabisa mkuu, mimi mshua wetu alipewa zawadi na wajapani kipindi wamekuja kuweka mradi wa maji vijijini 90's (aliwapa hifadhi bila malipo mmoja wao alipokuja Tanzania wakamfanyia sapraizi) Tv ilikua kampuni ya Panasonic ..aisee japo tulikua tunatumia jenereta haikuharibika i mpaka leo ipogo tu japo haitumiki ni imara hasa.