Recent content by zuuth

  1. zuuth

    Najuta Kusoma hadi chuo Kikuu

    Ahsante mkuu...
  2. zuuth

    Shiling ya enzi hizo

    Inch hii haizalishi unategemea nn??watu wajenge viwanda...hii nch ni ya kutoa huduma tu..hatu viwanda vya product...na bado
  3. zuuth

    Najuta Kusoma hadi chuo Kikuu

    Mkuu hili unasema ww...erolink wapo leo kesho na hata mwakan..serikal ilishasanda zaman...kama uaminin nenda voda customer care mshahara uleule na wapo had sasa...serikal haiko makin hii usipoteze muda wako...
  4. zuuth

    Said Bakhresa na wenzio ni noma, Thanks for Lady of Zanzibar

    Shikamoo bakhresa...but huku kanda ya ziwa jaman usafir taabu lete hata moja bas..nana ss huku wenye vyombo chakavu tusiloge ikija hiyo bot huku kanda ya ziwa....kuna kipindi alileta moja kaz...washa haiwaki mpaka ikarudisha bod ikawaka...sasa inafanya kaz zake unguja
  5. zuuth

    Watu 10 Mashuhuri waliouawa kwa kupigwa Risasi

    Mzee gadaf Mazee osam bin laden Mzee idd amin R.I.P
  6. zuuth

    Kwa lugha ya kikabila cha kwenu mnayaitaje haya?

    منتاغزذربییطس دتاذب ببیم
  7. zuuth

    Vijana tusiokuwa na kazi njoo tukutane hapa tujipange

    Kaka mm nina bach ya economics vp nafit hapo?!
  8. zuuth

    Makato ya Mkopo Bank yanaumiza, Nawezaje kujitoa? Naomba ushauri

    Nahis ww ni mwalim au askar...utakurupuka vipi kwenye kukopa?vumilia mpaka uishe huo mkopo no way out
  9. zuuth

    Najuta Kusoma hadi chuo Kikuu

    Mkuu kama upo dar..peleka cv yako erolink then ni pm nikusaidie upate pesa ya sabun angalau....
  10. zuuth

    Baada ya kutoka jela

    Pole mkuu vp babu seya...??anasemaje huko??
  11. zuuth

    Andrew Chan na Myuruan Sukumaran kupigwa risasi 28/04/15

    Amefanya vizur..hii ndio dawa yake.we fikir tanzania kungetugwa sheria mafisad wauawi unafikiri kungekuwa na ufisad au kama ungekuwepo ni kidogo mno...naunga mkono mauaji hayo ata huku ipitishwe hiyo sheria
  12. zuuth

    Gari la serikali latumia milioni 44 kwa ukarabati

    Unapata vits kumi mkuu...
  13. zuuth

    UFISADI: $350 million stolen from Tanzanians in Vodacom scandal

    Apo mkuu..umeongea point...lazima ccm watoke la sivyo maendeleo baadae sana...
  14. zuuth

    UFISADI: $350 million stolen from Tanzanians in Vodacom scandal

    Nan sasa aipigishe atua??watu wanakula hakuna kinachofanyika juu yao!!mm nikipata nafas full kula yaan mpaka vitukuu waikute hio mali...
  15. zuuth

    Joketi: Kuna mtu namtamani sana kimapenzi

    Ndio maana ananipigia simu kila sikuu
Back
Top Bottom