Ukishindwa kujua ni uvivu wako tu cz wote mnaajiriwa pamoja ila badae ndo mnapangiwa majukumu tofauti lakini maisha ni Yale Yale na story mnapiga kama kawaida kila mtu kumtambia mwenzie na wengne mnabadilishana utoauti Wa vitengo vyao wala usifikiri kuna siri sana kati ya mjeda na mjeda ni...
Me jina lngu lilikuwepo ila nilipoenda kuchungulia account nikakuta nill nijickia kama moyo wngu umepiga shoti ila ckuwa na jinsi wala Wa kumlilia nipo nasubilia miujiza ya mungu ila kiukweli inaumiza xna
Ni ngumu xna kutumia mawazo na mbinu zile zile mlizotumia kipindi nchi ina watu million 36 halafu bado unawaza kuzitumia kwenye ambayo tayari ina idadi ya watu 56 milion
Ndo maana umesema mtizamo wako na wengi wetu humu hatuna imani na kinachokupa mtizamo wako inawezekana ubongo wako haupo sawa labda cha kukusaidia nenda milembe wakuhakikishie kama upo timamu au laa
Hata wakijaa bunge zima wachumi hakuna lolote kama bunge litashindwa kukaa kando na serikali na kutenda kazi yake ya kuisimamia serikali kwa kigezo cha chama tawala ni bure tu kama viongozi Wa bunge wataegemea kwenye chama zaidi kuliko kusimamia rasilimali na kufuatwa kwa utaratibu Wa sheria za nchi
Sasa wale viongozi waliokuwa wanajiudhuru kuunga mkono upande Fulani kwa kazi nzuri vp watarudi baada ya kukuta mambo ndo yanazidi kuwa mabaya means kwamba akuna kilichofanyika
Maandamano sio kuna watu wanazimisha watu kkuandamana bali ni haki ya kila mtanzania according to katiba ndugu tuliza mchono na mihemko yako ya kutetea hata usichokijua kisa uonekane kumbe sio lolote unadhalaulika tu jinsi ambavyo hujui hata katiba ya nchi yako ithnk kwa akili hii utakuwa...
Wakuu me nina mtaji Wa milioni mbili na nusu ila naomba ushauri ni kibiashara gani naweza Fanya nikiwa hapa dar angalau iniingizie kuanzia elfu kumi na kuendelea !?kama kuna mtu yupo mwenye idear ya biashara ya kufanya hapa dar kwa mtaji huo naomba anisaidie na nipo tayari hata kununua ushauri...
Wakuu me ni mgeni hapa dar nmehamia cku c nyingi lakini kutokana na mazingira yenyewee na me ni mjasiriamali japo ninafanya kazi nilikuwa naomba msaada wenu ni kitu gani au biashara gani naweza kufanya kwa mtaji Wa milioni mbili na nusu angalau iniingizie kuanzia elfu kumi na kuendelea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.