Malipo ya madeni kwa watumishi wa Umma kwa mwezi wa tatu

Walekese

Senior Member
Sep 28, 2016
149
102
Watumishi wa Umma bado tunasubiri tena tamko kuhusu wenye haki ya kupata fedha ambazo tulistahili kupewa mwezi uliopita.

" Kwa watu wa imani ni muda muhafaka wa kumshirikisha MUNGU ili kusiwe na kukwazo"
 
Leo ni tarehe 3. Bado siku chache tuchungulie mshahara. Ndio muda maalum wa kutafuta ufumbuzi.
 
Utasubili sana, Mimi binafsi ninamkumbuka mzee kingunge alisema huyu alistahili kuwa mnyampala wa Barabara na si vinginevyo sasa yametimia
Mungu anaweza kufanya mabadiliko mazuri. Ila inauma sana.
 
Me jina lngu lilikuwepo ila nilipoenda kuchungulia account nikakuta nill nijickia kama moyo wngu umepiga shoti ila ckuwa na jinsi wala Wa kumlilia nipo nasubilia miujiza ya mungu ila kiukweli inaumiza xna
 
Watumishi wa Umma bado tunasubiri tena tamko kuhusu wenye haki ya kupata fedha ambazo tulistahili kupewa mwezi uliopita.

" Kwa watu wa imani ni muda muhafaka wa kumshirikisha MUNGU ili kusiwe na kukwazo"
Wacha ni mie!
 
Ukweli ni kuwa serikali haina pesa hivyo hakuna malipo kwa wastaafu wanaodai kama vile wastaafu wa ATCL na waliotoa huduma mbali mbali serikalini. Nimepata taarifa kuwa uhakiki unarudiwa na hii ndio mbinu ya mkulu ya kutolipa. Walimu nao asilimia sabini hawajalipwa nao eti wanarudia uhakiki.
 
Ukweli ni kuwa serikali haina pesa hivyo hakuna malipo kwa wastaafu wanaodai kama vile wastaafu wa ATCL na waliotoa huduma mbali mbali serikalini. Nimepata taarifa kuwa uhakiki unarudiwa na hii ndio mbinu ya mkulu ya kutolipa. Walimu nao asilimia sabini hawajalipwa nao eti wanarudia uhakiki.
Tutajuta msimu huu
 
Watumishi wa Umma bado tunasubiri tena tamko kuhusu wenye haki ya kupata fedha ambazo tulistahili kupewa mwezi uliopita.

" Kwa watu wa imani ni muda muhafaka wa kumshirikisha MUNGU ili kusiwe na kukwazo"
Kwani hamjalipwa? Tuliambiwa mnalipwa mwezi Februari. Ilikuaje ?
 
Ndugu kisingi niambie! Kuna watumishi wanaomba kustaafu kwa hiari kufuatia tetesi kuwa muswada umesainiwa na Bunge wa wastaafu kuwa watakuwa wakilipwa 38% ya kiinua mgongo na zinazosalia kulipwa kwa mwezi. Imewatisha na kuwavunja moyo watumishi wengi wa Serikali hususani waliobakiza miaka 10 - 59 kustaafu hivyo wanaomba kustaafu kwa hiari ili walipwe mafao yao kwa mkupuo kama kawaida. Je, malipo yao yakoje Unasema Serikali haina fedha. Wana JF, hebu tubadilishane mawazo na kupashana habari juu ya suala hili lenye mabadiliko yanayoudhi na kutisha na kukatisha tamaa watumishi wa Serikali. Mbarikiwe wana JF.
 
Bado mna imani kuwa Dikteta atakuwa wa kawaida.

Nimejiuliza kuhusu hizi taarifa mbili
1.Rais ni mwongo maana aliongea tarehe 14/10/2017 kuwa kuna Watumishi wa Umma 59,000+ watapandishwa madaraja mwezi Novemba lakini hadi sasa hajapanda hata mmoja.

2.Rais alisema baada ya uhakiki kumalizika kutakuwa na maslahi bora kwa Watumishi wa Umma lakini hadi sasa wamepewa za uso.

Waandishi wa habari hizi hazifai kupamba kwenye front page maana sijawahi kuziona.

Kutoka hifadhi ya misitu ya Madihani
Mwanachama wa CCM
 
Watumishi wa umma ni wapumbav Sana,kwa kuwa ni wapumbav basi mle upumbav wenu,kipind cha uchaguz hasa walimu mlikuwa na vihere here wa kuvaa Yale magwanda ya wakala nkuu na msaid ktk vituo vya kupiga Kura nan mlijazwa upumbav eti. Safari hii mnamchangua Mwl mwenzenu Leo yanawatokea puan! Nyambaf.
 
Ukweli ni kuwa serikali haina pesa hivyo hakuna malipo kwa wastaafu wanaodai kama vile wastaafu wa ATCL na waliotoa huduma mbali mbali serikalini. Nimepata taarifa kuwa uhakiki unarudiwa na hii ndio mbinu ya mkulu ya kutolipa. Walimu nao asilimia sabini hawajalipwa nao eti wanarudia uhakiki.
Uhakiki sijui utaisha lini. Ajira akitoa, anatoa kwa mafungu kama watumishi wa Wilaya moja. Inabidi akiri tu nchi ishamshinda.
 
Walimu wamepoteza muelekeo. Kikao cha CWT Dodoma wajumbe walichangiwa milioni sitini na hicho ndicho kilicho wamaliza viongozi wao hawana sauti. Hakuna malipo zaidi mpaka uhakiki upya hata kwa wakandarasi wa ndani wanao dai na wastaafu. Mawaziri ndio wanao neemeka kwani kila siku wapo mikoani wakipiga posho. Mfano Kigwangala na mkuu wake. Hassan Abasi ungekuwa mkweli kuliko kulishwa maneno sasa hakuna malipo kwa wanaodai. Ni asilimia ishirini tu ya madai ndiyo yamelipwa. Ona watumishi wa Chuo Kikuu elfu moja wamelipwa thelathini tu. Wengine wasubiri uhakiki upya. Oh. Uhakiki hautakwisha ndio sera ya awamu ya sasa
 
Inasemekana na kukadiriwa kuwa 50% au zaidi ya watawala wetu kwa sasa ni walimu, wanatoka kwenye ualimu wa shule za msingi, sekondari. Walihitimu 'O' level daraja la IV au la III wakawa walimu wetu wa shule za msingi. Wakatengeneza vyeti (through QT) wakasoma kidato cha V na VI kwa njia ya posta na kuhitimu. Wengi wakajiunga na Chuo Kikuu Huria ambacho kinavyoendeshwa Wenye Chuo wenyewe wanajua. Wengi wanasoma kozi tunazodhani ni kozi nyepesi na laini (lugha, saikolojia, nk) wanafuzu maana si rahisi kufeli. Wanapata shahada. Wamekimbia kada ya Elimu mambo magumu huko maana inasemekana watoto wengi wanafuzu Std VII hawajui kusoma wala kuandika. Wanahitimu form IV hata Kiingereza shida. Ni welevu kwa kweli wamejiingiza "kwa politics" sasa ndiyo Decision and policy makers wa TZ hivyo mambo ni kishule-shule. Ni maisha ya uendeshaji wa mambo kwa mahusiano ya "mwalimu - mwanafunzi"! Tutashuhudia mengi. Huu ni mtizamo binafsi tu Mtu asinihukumu.
 
Back
Top Bottom