Recent content by zungupori

  1. zungupori

    Misemo na methali za DSM

    Nyama ya nundu hunenepesha mk*#du
  2. zungupori

    Ubalozi wa Marekani walaani kinachoendelea Zanzibar

    Acha uzuzu wewe unaifaham good grammer au unaiskia tu. Hilo tamko la ubalozi wa marekani umeandikwa kifasaha na umesimama ndii. Nyie majuha cjui mnataka majanga gani yaangukie hii nchi yetu takatifu. I dont expect anything less from uneducated uncivilized morons such as yourself and your fellow...
  3. zungupori

    Wanawake wananunua vitu hawapeleki nyumbani, wanaficha maofisini

    Tru dat, wengine wanashindwa kutake home vitu ------------ na mabwana zao wanajua mumewe akiona atashtukia dili. Haswa haswa valentine day ukiona mdada ameweka maua ofisini wiki nzima hajapeleka nyumbani ujue zimetoka kwa playboy wake
  4. zungupori

    Between your legs!

    Titanic between my legs
  5. zungupori

    Tanzania govt on Homosexuality: We can do without UK aid

    Kuna msemo usemao "if you dance to the music you have to pay the piper" kwa dalili zote hawa wahisani wanataka shikisha mtu ukuta. Popular sentiment says tukatae mwongozo huu lakini economic constraints and tamaa kwa upande wa viongozi wetu utatushikisha ukuta tuu. Budget haijabalance afu...
  6. zungupori

    Tunahitaji viongozi WAZUNGU kuiongoza Tanzania

    Mbona wazungu tayari wako "in charge" angalia nyuma ya pazia na utakuta mchawi wako anacontrol mambo. Nyerere aliita hiyo kitu neo-colonialism na tofauti na waafrika wengi alikuwa na jicho la mbali saana afu "he didnt drink the koolaid" alivyokuwa nje ya nchi akisoma shule zao. Ni vigumu sana...
  7. zungupori

    Zitto Kabwe ndani ya Makutano Show: Adai Urais, mabilioni ya Uswisi vinammaliza

    unajua kuna correlation kubwa kati ya "whistleblowers" (wanoko) na maangamizi yao kijamii na kisiasa. Ukiangalia mtu kama Malcolm X ambaye alitupwa na wenzake baada ya kufanya mambo similar to ZZK ambayo yalichefua watu ndani ya chama chake inasikitisha sana jinsi watu wenye integrity...
  8. zungupori

    Petition: Wito wa kusitisha tozo/kodi ya laini ya simu kila mwezi kufuatia mabadiliko ya sheria

    Are you f'n serious? Kauli nyingine hapa jamvini ni za kutibua watu tuu, labda kweli wewe ni tabula rasa ambaye ulisoma shule ya kata hamna kitu kimeingia akilini mwako ukalipe hiyo kodi we na babaako. Sipati picha hizo hela zitakazochangishwa zitatumika kwa manufaa ya taifa (unless ufisadi ndo...
  9. zungupori

    kata ya nsenda-Urambo Tabora kumenukaa,watu wanakimbia makazi yao!

    Dalili ya mvua ni mawingu na kwa mwenendo huu machafuko yatakuja tuu alafu vibibi na watoto ndo watateseka haswa,mungu tuokoe na hili janga. kwa kutumia jicho la mbali hali inazidi kuwa mbaya watu wamechoka jamani.
  10. zungupori

    Siri yafichuka wizi wa kompyuta polisi

    Sometime sijui niseme nini maana niko speechless, afu cheki watakuja watu humu kuwatetea hao polisi ni kama vile utani lakini haichekeshi. Sipendi vurugu lakini mtu atavumilia mpaka lini? Majadiliano hayasaidii, tume hazisaidii dawa iliyobaki ni kuchapana bcoz haya hayana mwisho kwa mwenendo huu.
  11. zungupori

    Mkanda wa jeshi (Herpes zoster/ shingles) fahamu kuhusu dalili na tiba yake

    Mkanda wa jeshi ni noma kwa kweli na inaleta wasiwasi mtu amekanyaga mawaya akiugua umri mdogo chini ya miaka 30, lakini kwa wazee haswa inaweza ibuka wakati wowote ule kwahiyo kama umezidi miaka 30 ukapata nenda ukapime ukimwi kuondoa shaka lakini haimaanishi umeathirika
  12. zungupori

    Wanaume wanaotoka nje ya ndoa

    Sasa jamani ukizingatia kihistoria hii concept ya one man one woman ni idea mupya sana, hata mbeleni nyumba ndogo ilikuwa kitu cha kawaida sana ukirudi nyuma miaka 100 hivi. Mimi binafsi nahisi wale mawife wanaotaka "faithful husband" wamepata man wa ukweli, wale ambao hawamind kushare bado wako...
  13. zungupori

    How do you change a tire on an Airbus A330?

    They weigh 220 kilograms and there's 10 of them on one plane. Roadside saviors -- you may need a bigger wrench By CNNGo staff 2 February, 2012 There are many things about air travel we take for granted: that drinking whiskey at 10 a.m. is OK; that moving your feet in small circles counts as...
  14. zungupori

    Riport ya NHRC: Polisi walitumia nguvu Mtwara na raia zaidi ya 13 wameuwawa na kubakwa

    ubungoubungo rejea mwanzo wa kauli yangu au unahitaji tafsiri? ni mpumbavu ambaye anabishana na mpumbavu! kwish kazi. kapokee mshiko wako changu we, bidii zako sio bure angalau umeopoa kitu kidogo dona dagaa hiyoooo
Back
Top Bottom