Acha ubishi wewee, Kipo chuo cha huo usanii TANGA, iko hv
Mnapewa mafunzo ya style ya kujfanya kilema, mkishaiva mnapewa fungu na kuelekezwa mkoa ambao muhusika atakuja kupiga shoo, mnatangulia huko na kutafuta gest za bei rahis huku mkisubir cku ya tukio.
Kabla ya tukio hutolewa matangazo...
Hahahaa waswahili husema, "ukitaka kumwua mbwa mpe jina baya"
Kuna meng nyuma ya pazia, lkn mpk sasa cjamwona mwenye kuonyesha kuelewa hilo,
Kila kianzichwasho na wazungu waafrica tunakifuata bila kutafakari kwa undani kwa kuwa tumekariri wao hawakosri na waba akili zaidi yetu.
Amkeni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.