zulushaka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2017
- 372
- 298
Zama ambazo karibuni nusu ya bara la ulaya lote wameshaingia ktk uislamMafuta sio dili tena Mkuu; wanapaswa kujua hilo. Mwaka 2030 (13 yrs ahead) Paris na miji mingine mikubwa Ufaransa wanaondoa magari yote ya mafuta barabarani na 2040 yanaondolewa Ufaransa yote. Plan ni hiyo hiyo kwa mataifa mengine ya Ulaya, Uchina na kwingineko.
Hata Uganda wanapaswa kuchangamka na mafuta yao kupitia Tanga maana miaka michache ijayo yatapigwa marufuku duniani kote kama "kitu hatari" kwa usalama wa mazingira, viumbe, na dunia kwa ujumla.