Recent content by zululima

  1. zululima

    Arusha: Aliyerusha bomu alikuwa kavaa kanzu nyeupe na koti la Mvua la Kahawia

    Watu watulie tu na ukweli utadhihiri, yawezekanaje kweli mhalifu akitajitambulisha kirahisi hivyo!!! hii haingii akilini, jamani tusubirini tu, ntoa pole sana kwa victims wote na families zao.
  2. zululima

    CHADEMA taifa vipande vipande! Soma barua hii ya Zitto

    We mleta barua hapa hapa unasema ZITTO kasema ushauri huu usipofanyiwa kazi atatoa maamuzi magumu, mbona hakuna mahali ilipoandikwa hivyo? pili unasema katoa ushauri, mbona barua inasema "ningependa kutoa ufafanuzi" je ?? ufafanuzi ndo ushauri?? hebu kuwa makini na riwaya zako.
  3. zululima

    CHADEMA taifa vipande vipande! Soma barua hii ya Zitto

    Hapa hakuna reality, hebu tazama, hii barua iko addressed kwa katibu mkuu lakini paragraph ya tatu inaonyesha kwamba inatumwa kwa public, nanukuu " Kwa kuwa chama changu kimekwishatoa kauli kuhusu kadhia husika, ningependa kutoa machache ya ufafanuzi" kwa nini isiwe kwamba, "kwa kuwa chama...
  4. zululima

    Nape: Jitegemee Trading Company ni mali ya CCM, lakini...

    Si ni CCM hii ilokuwa inakanusha kwa nguvu zote kwamba hakuna ufisadi nchini hapa? sasa nape atueleweshe ni mafisadi wapi hao wanaowatumia CHADEMA?
  5. zululima

    Rais Kikwete, Mwinyi, Mkapa na Mbowe, Lowasa wahudhuria mazishi ya Askofu Amedeus Msarikie

    LUNYUNGU pls kuwa mpole, mbona bi Zubeda kauliza tu, pili ni kwamba marehemu wote wanastahili heshma, hakuna haja ya kudharau au kubagua misiba.
  6. zululima

    Bunge Lisirushe Matangazo yake 'LIVE' - Nape

    Kama ishu ni kwamba muda hakuna watazamaji au wanaotazama hawazidi 5000 nchi nzima, kuna haja gani gani basi ya kuzuia matangazo!!!! kitu hakitazamwi , sasa unaedit nini???? tafuteni maneno ingine...
  7. zululima

    Barrick Gold kuuzwa...

    yawezekana kabisa wameshaona mawe hayatoshi tena, sasa wanataka kukwepa kulipa mafao yetu na kodi zetu. mie binafsi sijaona faida ya owepo wao hapa zaidi ya hasara ya kutuulia ndugu zetu na then kutuachia mashimo matupu.
  8. zululima

    Waziri Bernard Membe kalipotosha Bunge kuhusu mpaka wa Tanzania na Malawi kwenye Ziwa Nyasa

    Wanyasa mpo wengi sana humu, mnaongea mpaka povu linawatoka lakini hiyo haitawasaidia na ushoga wenu, hapa ni kichapo kwa kwenda mbele then ndo mtakuja kwenye mazungumzo mkiwa na p.o.p na ngeu kibao. hujui liwalo na liwe kijana. Sie muda wa kuwabembeleza mashoga hatuna
  9. zululima

    Samwel Sitta: Tanzania iko tayari kupambana na aina yoyote ya uchokozi kutoka Malawi!

    Bila shaka wewe ni Mnyasa, subiri hapo ulipo na tutakufikia punde tu, jiandae kufunga virago na familia yako kurudi kwenu......
  10. zululima

    Mwakyembe apuuza data za JamiiForums!

    sishangai chochote, ni kawaida ya wana ccm kukejeli chochote kinapokuwa na ukweli mbaya kuhusu wao na serikali yao. refer list of shame ya mwembeyanga, walikana na kuikashifu cdm mpaka povu likawatoka midomoni, lakini muda mchache baadae serikali ilivunjika kwa hilo hilo na leo wanaona aibu.
  11. zululima

    Punguzo gharama uunganishaji wa Umeme- Live From Bungeni

    Nimekaa Mafinga kwa muda flani, nguzo moja kuvuna mpaka kuiandaa na kuiuza kwa Tanesco haizidi laki moja. Na nguzo zipo tele hazina soko, sasa haya ma-order ya South Africa ni ya nini kama sio deals, wizara hiyo hiyo imeamua kukiuka sheria ya PPRA kwenye ununuzi wa mafuta kwa ajili ya kupunguza...
  12. zululima

    Kilichojiri bungeni Tarehe 13 April (Muswada wa mafao)

    Cha ajabu wewe TP MAZEMBE Thread umepost wewe na wewe mwenyewe ndo mchangiaji mkuu, acha watu wachangiaje ujibu hoja.
  13. zululima

    Madaktari waliomshambulia askari wajisalimishe - Kamanda Kova

    Dah!!!!!! kamanda kova bana, anaripoti kwamba dr uli alikuwa kafungwa kamba za mikono na miguu, wakamtupa porini then akaweza kujisogeza hadi barabarani, sawa lakini je, alijisogezaje wakati kafungwa miguu na mikono? alitambaa kijeshi kamanda?
  14. zululima

    Nape atoa neno kwenye Mgomo wa madaktari adai hawana shukrani kwa watanzania

    unamshukuru nani wewe, mwanga mkubwa wewe, kupewa shangingi basi umekuwa msaliti nkubwa wa uhai wa watanzania,m SHAME ON YOU, SHAME ON CCM, FUC...... YOU NAPE.
  15. zululima

    Ridhiwani Again

    we labda unakaa mtera, hakuna bei hiyo ya maji kwenye jimbo letu, silly thread, silly gamba. Tunajua njama zenu magamba za kumhujumu mnyika lakini sie wapiga kura wake tupo nyuma yake. Mnyika anafanya kazi kubwa sana jimboni, usirudi kutuletea us.....e wako hapa
Back
Top Bottom