Kama utakuwa uko huru kifikra wala sio ushabiki utaona mheshimiwa ZITO ni kiongozi makini, kwann nasema ivyo? Yeye ndo chachu ya ukombozi, tazama aliingia bungeni akiwa kijana mdogo lakin mzee wa mvi kwa hoja, tazama michango yake bungeni, tazam hoja binafsi anazopeleka bungeni bila shaka kuna...