Siombi mabaya lkn ipo siku wataumbuka watakutana na vichwa maji kwani kiuajiriwa serikalini ndiyo kuwa na masisha mazuri wasijaribu huu moto wamemuonea sana mwalimu lkn one day yes.
Bodaboda wilayani Muheza wanalalamikia kitendo cha kuambiwa wakate leseni za kubeba abiria hali inayo wafanya wengi wao wakitaka kurudisha pikipiki kwa wamiliki.Wachache wa bodaboda hao wamesema kwasiku unaweza usipate abiria hata mmoja na tunashinda juani halafu unadaiwa hesabu ya bosi halafu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.