Watuhumiwa wa mauaji ya Mwanza, Tanga wauawa Dar

chakii

JF-Expert Member
Sep 15, 2013
19,682
22,685
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limesema kuwa limefanikiwa kuwaua watuhumiwa wa mauaji yaliyotokea hivi karibuni katika mikoa ya Mwanza na Tanga.

Kamishna wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam Simon Sirro amesema kuwa mtuhumiwa mkuu wa mauaji ya watu 8 mkoani Tanga aliyefahamika kwa jina la Abuu Seif ameuawa juzi katika mapambano na askari maeneo ya Kimara, huku mtuhumiwa mkuu wa mauaji ya Mwanza akiuawa maeneo ya Buguruni.



Chanzo: EATV

uploadfromtaptalk1467028310077.jpg
 
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limesema kuwa limefanikiwa kuwaua watuhumiwa wa mauaji yaliyotokea hivi karibuni katika mikoa ya Mwanza na Tanga.


Kamishna wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam Simon Sirro amesema kuwa mtuhumiwa mkuu wa mauaji ya watu 8 mkoani Tanga aliyefahamika kwa jina la Abuu Seif ameuawa juzi katika mapambano na askari maeneo ya Kimara, huku mtuhumiwa mkuu wa mauaji ya Mwanza akiuawa maeneo ya Buguruni.


Chanzo : EATV

View attachment 360613
HIVI MTUHUMIWA HUWA ANAUAWA AU ANAFIKISHWA KWENYE VYOMBO VYA SHERIA KUJIBU TUHUMA?
 
Back
Top Bottom