Mleta mada kumbe bado hujapona vidonda vya kupitwa darasani na Lissu. Pole kwa sababu uwepo wa nyie vilaza ndio unaosababisha TL kuonekana mahiri wa sheria.
Kwa hiyo hapo hajamuumiza??!! Ye mwenyewe kwenye thread anakiri amemuumiza. Si bora angempa tam yake afanye kuja kuumia badae??? Unafikiri huyo dada anajiskiaje sa hv baada ya kukataliwa???
Kuna watu wanaudhi sana. Mtoto wa watu kajitahidi kuonyesha hisia akajifanya haelewi, akaamua basi isiwe tabu akasema kabisa mtu anakwambia nkaona ntamuumiza nkamkatalia!!!! Hivi kweli unathubutu kutuelezea wanaume wenzio kabisa kwamba umemkatalia binti!!!!!! Hiki kizazi cha tamthilia hiki!!!!!????
Huu ni utani tu...haihitaji hata kwenda shule kujua this is just a joke.. Hv mwanao anakuletea mitihani yote kapata F alafu kawa wa kwanza utajiskiaje???!!!! Hebu jiulize inshu za madawa ya kulevya tu???!!!!
Hebu tafakari kwa makini hivi hapa mtego ni upi??? Kumuacha au kumfukuza??? Hebu jiulize mambo yote ambayo yashasemwa juu yake wakimuacha itakuwa na maana gani??? Kama cdm walimfukuza uongozi kwa kuwa walijiridhisha pasi na chembe ya mashaka kuwa ni msaliti ni kwann wawe na huruma na kiongozi...
Natamani sana kamati imfukuze kabisa ZZK. Kwa upande wangu ni heri kabisa kuiona CDM ikifa kwa kumfukuza (ambalo haliwez kutokea) kuliko kuiona ikimkumbatia mnafiki kwa kuogopa consequences. Hapa Cdm ilipofikia uamuzi sahihi ni 1 tu; Zzk aondoke.
Ni ushauri mzuri ila napata mashaka kuna wale waliooa lakini practically hakuna ndoa humo ndani, kuna wale wa ndoa ndoano, kuna wale masharo waliolewa na majimama yenye hela....... Kimtizamo naona kama kuna zaidi ya tim 2 hapa!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.