Baada ya miezi kadhaa ya machungu ya talaka

Baada ya miezi kadhaa ya machungu ya talaka

prof.mutunga

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2013
Posts
341
Reaction score
60
Naomba kukaribishwa upya katika jukwaa hili maana nilistop kwanza kutokana na matatizo ya mie na my ex wangu sasa nipo mbioni kupata mwingine hasa ktk jukwaa hili naomba kukaribishwa
 
Naomba kukaribishwa upya katika jukwaa hili maana nilistop kwanza kutokana na matatizo ya mie na my ex wangu sasa nipo mbioni kupata mwingine hasa ktk jukwaa hili naomba kukaribishwa

pole msukuma
 
Naomba kukaribishwa upya katika jukwaa hili maana nilistop kwanza kutokana na matatizo ya mie na my ex wangu sasa nipo mbioni kupata mwingine hasa ktk jukwaa hili naomba kukaribishwa

Wewe ndiye umepewa au umetoa talaka?
 
Huna haja ya kwenda mbio kumpata mwingine nafikiri kuna haja ya kutulia kidogo kucheki upepo unakwendaje. Huku pia si salama sana
 
^^
Napenda kujua huyo X wako, mlikutana humu?
^^
 
Naomba kukaribishwa upya katika jukwaa hili maana nilistop kwanza kutokana na matatizo ya mie na my ex wangu sasa nipo mbioni kupata mwingine hasa ktk jukwaa hili naomba kukaribishwa

Mpendwa; kwanza lipa fini ya kumtosa bibiye!! Tzs.100,000- !! afu ndo welcom again.
 
Pole. Unataka ugonjwa wa moyo kupitia mapenzi ya mitandaoni? Tena wakijua una tatizo watakuja kwa kasi maana uko desparate looking for one. Tulia na omba Mungu na jipe nafasi ya kutafakari maisha na unachokitaka.
 
Karibu tena mkuu,, pole hayo ni mapito...
Weka basi wasifu wako tukujue bila kusahau mali unazo miliki.. who knows everything is possible.
 
Karibu tena mkuu,, pole hayo ni mapito...
Weka basi wasifu wako tukujue bila kusahau mali unazo miliki.. who knows everything is possible.

Dah..!! Mkuu, umeamua kumpa makavu?
Lakini kwe bhana, biashara matangazo
 
Back
Top Bottom