Hivi kwanini inakuwa hivi?

Bora mwaya ulivyomkatalia mdada wa watu ungemuumiza bure! Mapenzi ndo yalivyo anayekupenda humpendi unayempenda humpend hata kwa wanaopendana bado hakutakuwa na usawa!! Achana na ushauri wa zorrender na mwenzie Asprin wanachupa ya govinder kumar sahzi watakupoteza buree! Wacha niage!
 
Last edited by a moderator:
Bora mwaya ulivyomkatalia mdada wa watu ungemuumiza bure! Mapenzi ndo yalivyo anayekupenda humpendi unayempenda humpend hata kwa wanaopendana bado hakutakuwa na usawa!! Achana na ushauri wa zorrender na mwenzie Asprin wanachupa ya govinder kumar sahzi watakupoteza buree! Wacha niage!

shukrani ndugu ushauri wako umenifanya nione nimefanya uamuzi sahihi
 
Last edited by a moderator:
Bora mwaya ulivyomkatalia mdada wa watu ungemuumiza bure! Mapenzi ndo yalivyo anayekupenda humpendi unayempenda humpend hata kwa wanaopendana bado hakutakuwa na usawa!! Achana na ushauri wa zorrender na mwenzie Asprin wanachupa ya govinder kumar sahzi watakupoteza buree! Wacha niage!

Kwa hiyo hapo hajamuumiza??!! Ye mwenyewe kwenye thread anakiri amemuumiza. Si bora angempa tam yake afanye kuja kuumia badae??? Unafikiri huyo dada anajiskiaje sa hv baada ya kukataliwa???
 
Last edited by a moderator:
Nataka uniumize.

Yani umeniudhi sana. Dada wa watu ana kiu we unamtolea nje. Mmepewa vífanyio mnashindwa kuvitumia wakati haviishi. Hiki K na utamu wote ile kuna mwanaume anaisusa?

Mtu asiyeitendea haki K hawezi kuwa rafiki yangu.

Ngoja niende zangu jukwaa la wakubwa nikapunguze Munkari na hasira.
 
Last edited by a moderator:
Jaribu kuangalia vitu anavyopendelea huyo mpenzio pengine sio mtu wa kujali hata mambo yake..kama ndivyo alivyo usitaman nchi kavu wewe samaki kwako ni majini....
 
Kuna watu wanaudhi sana. Mtoto wa watu kajitahidi kuonyesha hisia akajifanya haelewi, akaamua basi isiwe tabu akasema kabisa mtu anakwambia nkaona ntamuumiza nkamkatalia!!!! Hivi kweli unathubutu kutuelezea wanaume wenzio kabisa kwamba umemkatalia binti!!!!!! Hiki kizazi cha tamthilia hiki!!!!!????

Angekuwepo karibu ningempiga kibao! Sasa nyie subirini tu na hata tuwekeane dau hapa, ndani ya miezi miwili huyu atakuja na kilio cha kusalitiwa!!
Mark my words!
 
Hahaha kumbe nimekudipu?

Ndo ujue mimi na wewe kuna kitu Mungu katupangia. Hebu twende PM tukaangalie uwezekano wa kuvigonganisha vikojoleo vyetu.

hahaha! Sasa babu si itakuwa ajali hiyo vikishagongana!!
 
Kwa hiyo hapo hajamuumiza??!! Ye mwenyewe kwenye thread anakiri amemuumiza. Si bora angempa tam yake afanye kuja kuumia badae??? Unafikiri huyo dada anajiskiaje sa hv baada ya kukataliwa???

hahaha! Ujue imebidi nicheke kwanza aisee! Huu unaitwa ushauri mchungu!
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom