Hongera sana maana wewe mwenyewe umekuwa mfano kwa kizazi chako kijacho,na wao ni vyema ukawafundisha kuendeleza maana yawezekana baada yako wakaja kuzitapanya na nguvu ikapotea bure
Uko sahihi kabisa,
Lakini familia za kibongo nyingi hawarithishwi,umetolea mfano bakhresa na MO,kumbuka hizo ni familia za kiarabu sio hizi za kibongo bongo,ingawa saivi pia Kuna baadhi ya wabongo wameanza kufata mtindo huo.
Kiujumla alichouliza mtoaada ni sahihi,
Lakini kila mtu itabidi awe...
Wewe ndio una akili ndogo,
Acha kuropoka hovyo,
Nimekuiliza babu zako walishafanya au wewe ushafanya ili kuandalia vizazi vyako??
Badala yake upo jukwaani hapa unashambulia watu wanauoliza vitu vya maana .
Itabidi wewe uanze kuwa wa mfano kwenu na kizazi chenu kabla ya kuropoka na kubeza watu...
Hongera kwa hilo,
Je na wewe umeandaa urithi wa vizazi vyako vijavyo au una mawazo tuu ila hujatekeleza ?
Maana wanasema charity begins at home,hata kama unasema huna akili za hovyo kama hizo,ila kama hujaweka hayo mazingira ya vizazi vijavyo ina maanisha na wewe ni walewale,hivyo huna haja ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.