Ndio kaka bethlm.....unachoongea ni sahihi kabisaa......ila mi kitu ambacho ninachojiuliza na sipati jibu......muda mwingine hata hawa viongozi wetu wa dini nao wanatumika kuwatumikia mabwana zao wa serikali.......ccoz unaweza ukaona mtu anahubiri uchohezi kabisa tena live na maspika lakini...
Aaah ila kaka unahisi ni nani anaonewa hapo??
Coz kila mtu ukimuuliza anadai kwamba anatafuta haki yake aliyokuwa ameipoteza.....sasa kila mtu kapoteza haki.....au ndo haki zote zimehifadhiwa nna serukali???
Daaaah na huko mahakamani kwenye hiyo kesi jaji anatakiwa awe nani??muislamu au mkristo???
Maana conclusion ya hapo pia lazima itafaidisha pande moja na kuiumiza pande nyingine..........!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.