Ule msemo wa "akili za kuambiwa changanya na zako " utumike tu sasa kama upo salama shukuru na endelea kujikinga . maana yakikuta ndo utajua maana. 😭😭😭
Tunaacha kujadili tatizo, tunamjadili Mtu, TUNATAKA, tuone vijana wanaajiriwa walimu wetu na wafanyakazi wanafurahia kazi zao kwa kupata, mshahara kulingana na kupanda kwa maisha, Ukimsema Kairuk ataletwa mwingine afu Tatizo linabaki, Tujadili matatizo na sio watu.
Tambua amepataje nafasi Hiyo,
Linganisha na maamuzi ya nafasi alizowahi shika,
Kuwa mkweli, acha mihemko utamuelewa.
kuna series moja, "Designated Survivor "
Penda sana hii kitu.
TUACHE KUPIGA Kelele tumpe Kiongozi Mda na Yeye achambue bila kuonea upande.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.