Anasema wanaomlaumu wanamkatisha tamaa kutusaidia kuondokana na umasikini!! Hii ndio kazi ya Balozi wandugu? Hata kama sisi ni masikini kwa hiyo hao wawekezaji wanatusaidia sisi? Kwenye nini? Ajira? Junior staffs? Daily contract workers? Kuna vitu ukiviangalia kwenye nchi hii unaona kabisa...
Watu wanashindwa kufahamu kuwa kama ni mikoa kuendelea ni kweli wamejitahidi kuendelea na source inafahamika ukiacha utendaji wao wa kazi na kukusanya kipato lakini kuna sababu za kihistoria na kijiografia hata hivyo hawa jamaa ni wanaukabila uliokithiri tusikae kujidanganya kuwa wachaga wamejaa...
Ukiangalia avatar yako ndiyo inadhihirisha upumbavu wako! Kazi kusifia makabila mengine wewe unayowaza ni upuuzi tu, kusoma sio kigezo, wao wanabebana huo ndiyo ukweli, na hiyo tunayoita kubebana ndiyo UKABILA wenyewe walionao. Kwenye ukweli tuwe tunasema kama hujafanya kazi na hawa watu...
Sikutarajia kukutana na MHEHE wa hovyo namna hii, yani unajisifia ujinga wako? Halafu hapo kwenye blue, MAHITA sio mchaga ficha upuva wako mnyalukolo, unaongea kama umekunywa ugimbi? wenzenu wanabebana nyie wahehe kazi yenu kujifanya ndimgaya sida, kazi kukaa na kusema IDOL IDOL, Kwenda huko...
Usiombe akutane na wewe maeneo hayo utakoma kumfahamu lazima akupige sindano na unakuta anakunywa sijui cocktail inaitwa 'Colorado moth...f...c.k..r'. Mara sijui kaagiza popcorn utakoma.
Ukiona mwanamke anang'ang'ania kuhongwa eti ni haki yake huyo hana tofauti na wale wa kona bar sema yeye kijiwe chake cha uchangu ni tofauti labda ofisini kwake au Savannah au quality plaza maana mwanamke mwenye staha hawezi kumpenda mtu sababu ya pesa pesa huja baadae sana hata kama anaiona ila...
Hata nikishuka haisaidii. Wenzenu wanapiga invoice tactically sio kibwegebwege na carolite zenu macho unayajaza nyusi za kope kama kisebengo, miguu ina vigimbi kama mruka vihunzi. Invoice sio ishu Tatizo unalikuta demu bayaaaa ila linajifanya eti classic, kwenda zako na uclassic wako...
Mh kwa hawa wanawake wa Kilewo? Aandike maumivu, nina kesi mbili zenye material facts kama hii, ninahangaika nazo mahakamani ila jamaa bora akae kimya maana siku mke akimuamulia ndio atajuta.
Kwanza haileti heshima ukweni unakuwa kama umeolewa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.