Mbona mada ipo wazi, labda wewe ndo uliefeli. Au ulitaka akwambie "rejea kichwa cha mada hapo juu".
Ambae hajaelewa asimlaumu mtoa mada ila atambue kuwa yeye ni "ZUZU"
Msaada wakuu, nina ndugu yangu amepata division 4 ya point 19, anataka kusoma diploma ya medical doctor .naomba ushauri wa chuo ambacho kinatoa course hiyo, ukiwa unajua na ada yake itakuwa imetulia.
ebu fikiria kwanza elimu yetu ilivyokuwa ngumu. co utaketu kuwa ya kimataifa kwa kupandisha grade ,warahicshe kwanza km ilivyo kimataifa na kuboresha faclities
Hakuna binadamu ambae anauwezo wa kuwa na mamlaka ya mungu hapa duniani, ni uongo mtupu. Hakuna mchungaji asiye tenda zambi sasa sijui huwa anaungama kwa nani. Nakama yeye mwenyewe anadhambi anawezaje kuwasamehe watu zambi eti ...,
wote kuni za jahanamah!
Watanzania walipo lalamika kukosa vipind vya television, haikuwauma na wala hamkujua kama katiba imekiukwa ila kwakuwa mnakosa mapato mmejua kama katiba imekiukwa.
So mnachojali nimaslahi yenu ss nasisi hatutaki. kwanza mmetupunguzia gharama za matumizi yasiyo ya lazima japo yanaumuhimu.
Sasa redio iman imefungiwa ili magaidi kuliko mmarekani (alie lipua nagasaki na hiroshima,anachochea mauaji kila siku ila mungu hajampa ugaidi kama waislam) wasisikike. Furahini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.