Majina ya wanafunzi walio chaguliwa kujiunga na vyuo vya ualimu 2014/2015

Status
Not open for further replies.
Jamani mbna hakuna majina hapo nacte??? mbna tnachanganyana.. hv nikweli ukimtumia pesa yule blogger kama livyo sema anatuma kweli?? au wanataka pesa za vocha
 
inauma xana kwa sisi tulio na division four!
kama una three na uliomba tafadhali nitupimie jina lako kamili au school index yako pasipo malipo yoyote
 
sijajua kuhusu walioomba certificate ndugu yangu. Mimi kuna dogo fulani wa jiran aliomba kusoma ile advance + education tena alchagua CBE (Chemistry, biology na Education) lkn cha kushangaza wamempeleka diploma ya awali.

mm mwenyewe wamenipeleka humo wakati niliomba (BEE) Mwambie huyo jamaa tuwasiliane 0757513523 tujuzanw asee maana nashindwa kuwaelewa
 
Ukitaka kujua habari kamili kuhusiana na majina ya wanavyuo vya ualimu tembelea website hii www.nacte.go.tz ili umalize ubishi wa maneno
 
naomba mnifahamishe wakuu hayo majina ya waliochagualiwa vyuo vya ualimu ni ya 4m 6 au ni ya 4m 4,. maana mdogo wangu kamaliza 4m 4 na amepata div 3 tena ya masomo ya sayansi lakin jina lake halionekani
 
naomba mnifahamishe wakuu hayo majina ya waliochagualiwa vyuo vya ualimu ni ya 4m 6 au ni ya 4m 4,. maana mdogo wangu kamaliza 4m 4 na amepata div 3 tena ya masomo ya sayansi lakin jina lake halionekani

Mpe pole maana watu wengi wameachwa japokuwa wana div 3.
 
Ukweli ni kwamba lazima majina hayo yatoke kwani wakuu wa vyuo vya private walisha pewa taarifa na wizara kuwa ualimu mwisho ni div.4.34...na wanafunzi wamesha anza masomo katika vyuo vya private haiwezekani mambo yakabadilika bila taarifa maalum kwa wakuu wa vyuo hivyo! Hebu jaribu kuwasiliana na mkuu yeyote wa chuo cha private halafu leta majibu hapa, maana kila mtu anasema lake
|source:common sense|
 
Kuna walioomba online na walioomba physically kwa kutuma barua moja kwa moja wizarani.Je majina kutoka wizarani na Nacte yote ndo hayo?
 
Kwa wale walioomba nafasi za masomo kwa mfumo wa online application kupitia CAS waangalie majina yametolewa tayari kwahiyo kama uliapply basi jiangalie maana biashara mapema.

NOTE
Habari hii haiusiani na walioapply vyuo vikuu maana wao inaonyesha deadline ni tar6 sept 2014 kwahiyo hapa 9inawahusu walioomba ualimu tu.
source: The National Council for Technical Education
 
Naomba kujua majina ya walimu wa daraja la 3A wametoa serikal au bado,kwan nliomba kujiunga na chuo 2014,aksante!
 
mkuu hayo mjina ni kwa walioapply kupitia cas tu? vip kuhusu walioaply kupitia posta
 
jamani kuripoti lini sisi tuliopata nafasi. nimepata chuo cha marangu moshi stashahada elimu ya msingi. JOSEPH KABOYOKA
 
Ukweli ni kwamba lazima majina hayo yatoke kwani wakuu wa vyuo vya private walisha pewa taarifa na wizara kuwa ualimu mwisho ni div.4.34...na wanafunzi wamesha anza masomo katika vyuo vya private haiwezekani mambo yakabadilika bila taarifa maalum kwa wakuu wa vyuo hivyo! Hebu jaribu kuwasiliana na mkuu yeyote wa chuo cha private halafu leta majibu hapa, maana kila mtu anasema lake
|source:common sense|

huu ndo ukweli waliojiunga private na wana division 4 hawatapata ajira ila wenye division 3 watapata,haya ndo makubaliano kati ya wizara na wakuu wa vyuo wa private.Wakuu wa vyuo hawataki kusema ukweli wanajua watakosa wateja.
Vyuo vya serikali vimechukua division 3 na inservice tu,mwanzo wizara walipontanganza yale mafunzo ya bridging walizani hawatapata division 3 lakini wenye 3 walikuwa wengi kuzidi mahitaji yao.Na ikubukwe sera ya wizara ni kudahili wanafunzi wenye daraja 3 lkn kwa uhaba walikuwa wanachukua 4.
Note:wenye division 4 msipoteze muda wenu kusubili selection nyingine tafuteni alternative nyingine ni ushauri tu,ukweli utajulikana tar 6/10 wezenu watakapo report chuo,asanteni.
 
naomba mnifahamishe wakuu hayo majina ya waliochagualiwa vyuo vya ualimu ni ya 4m 6 au ni ya 4m 4,. maana mdogo wangu kamaliza 4m 4 na amepata div 3 tena ya masomo ya sayansi lakin jina lake halionekani

Angalia diploma ya.elimu ya awali kama.umekosa elimu ya msingi, wengi.wamepangwa elimi ya awali, kama vp nicheck kwa 0655817116 faster nitakuinform
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom