Recent content by zlatan9

  1. zlatan9

    JamiiForums Tanzania Maxence Melo: Ofisi za JamiiForums, Mikocheni 'zimevamiwa'

    Tatizo JF na Melo walianza kujisahau awamu hii, wakawa kama wanafanya mapambio na kuunga juhudi..wakahis kigo cha Magu nfo meidho wa yote....wakaw had wanafuta nyuzi ukikosoa awamu hii..yako wapi? Huu ni mwanzo tu. Ndo maana watu wanataka mabadiliko ya kweli ys katiba.
  2. zlatan9

    JamiiForums Tanzania Mtume Mwamposa: Wenye Mbio hawashindi riadha, Wenye Nguvu Hawashindi Vita, Wenye Akili Hawatajiriki bali Wakati na Fursa!

    Mhubiri 9:11, ukitala tafsiro nzuri soma version mbili au tatu, hasa zile za kiingereza
  3. zlatan9

    JamiiForums Tanzania Ninunue gari ipi kwa safar ndefu

    Tafuta mitsubishi Pajero 2005- hadi 2007, kwa safari ndefu cc 3000. Ni gari nzuri sana na ni kubwa its competition are the like of prado
  4. zlatan9

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simba 1-1 RS Berkane| Agg: Simba 1-3 RS Berkane | RS Berkane Bingwa CAFCC 2024/205

    kuna shabiki wa simba nilimwambia kuwa hii VAR Iliyowabeba mech ya stellenbosch inaweza kuja kuwaumiza pia hasa finali
  5. zlatan9

    JamiiForums Tanzania Sekondari za Vipaji maalum takribani miaka 40 tangu kuanzishwa kwake umaalum wake uko kwenye nini? Hatuoni ubunifu wowote

    Mleta mada.. Naomba kufahamu kama umesoma special school? Kama ulipata alama za kukokoteza huwezi soma huko.
  6. zlatan9

    JamiiForums Tanzania Wanaotaka kuanza kusoma CPA karibuni tushauriane

    Hongera CPA T, Karibu kwenye chama . Kuwa certified ni kuzuri na kunafungua milango mingi ya fursa. Kama umefanya na kumaliza mitihan ya Bodi, mitihan ya chuo unaona ni utoto tu .
  7. zlatan9

    JamiiForums Tanzania Nimekagua Gari sita Yard siku ya leo, majanga ni makubwa.

    Nenda Jan international..hawashushi odometer
  8. zlatan9

    JamiiForums Tanzania Kamala Harris: “Mimi ni mwanasheria, Trump ni muhalifu aliyekutwa na hatia mahakamani”

    Kamala is not even black, like Obama she is not descendant of slaves.. although she will try to use some race card and woman card to win an election..she is more worse than Biden
  9. zlatan9

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania UEFA EURO 2024: Special Thread | Final: FT: Spain 2-1 England (Spain aibuka bingwa)

    Dembele anazingua kinyama
  10. zlatan9

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania UEFA EURO 2024: Special Thread | Final: FT: Spain 2-1 England (Spain aibuka bingwa)

    Slovakia kujiangusha na kupoteza musa ime wa cost..go england
  11. zlatan9

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania UEFA EURO 2024: Special Thread | Final: FT: Spain 2-1 England (Spain aibuka bingwa)

    Toa saka, weka Palmer, halafu huyu declan reice hatak kutoa pasi kwa Mainoo
  12. zlatan9

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimemsomeshea watoto na sasa hanitaki tena bila sababu

    Kazi yako.ilikuwa kusomesha watoto..imeisha. Ondoka
  13. zlatan9

    JamiiForums Tanzania WanaJF wafuatao wanastahili tuzo ya uvumilivu kwa kutoyumbishwa na mashambulizi kila wanapopost nyuzi zao

    ERYTHROCYTE ni noma, uzuri wake huwa hatukani matusi, yeye anasimamia kila anachokiamini.
  14. zlatan9

    JamiiForums Tanzania Matumizi ya "CPA" kwenye initial za majina ni sahihi?

    Kutumia CPA ipo kisheria., fatilia vizuri sheria na regulation za NBAA. .ndo naana si kila mtu anatumia..you must earn it..
Back
Top Bottom