Chukua katalamaHabar wakuu nimekuja kwenu mnishauri nataka kununua gari lakini mim nimtu wa safari ndefu,dar kigoma,dar mwanza,dar mbeya,,gari ipi itanifaa kwa safar ndefu budget 25-35m NB ni iwe family
Mkuu wote wanaoanzisha nyuzi za kununua magari sio wanunuzi wa magari wengine wakishiba tu wanawaza magari na kuanzisha nyuzi wengine wanaweza kukufata inbox ukadhani ni wateja kumbe ni shibe tu mnunuzi wa gari anajua anachokihitaji..Sio mzoefu sana labda mkuu Isanga family akupe muongozo
Haha labda wanafanya utafiti kwanza mkuuMkuu wote wanaoanzisha nyuzi za kununua magari sio wanunuzi wa magari wengine wakishiba tu wanawaza magari na kuanzisha nyuzi wengine wanaweza kukufata inbox ukadhani ni wateja kumbe ni shibe tu mnunuzi wa gari anajua anachokihitaji..
Nunua Toyota Vanguard,hutajuta.Habar wakuu nimekuja kwenu mnishauri nataka kununua gari lakini mim nimtu wa safari ndefu,dar kigoma,dar mwanza,dar mbeya,,gari ipi itanifaa kwa safar ndefu budget 25-35m NB ni iwe family car
Ila wewe jamaa mbona unataka huyo jamaa afe Kwa preshaChukua Mazda CX-5 ya diesel kwa safari ndefu inafaa sana
Anataka kumpoteza mwenzake 😀 😀Ila wewe jamaa mbona unataka huyo jamaa afe Kwa presha
Hii ndiyo gari sasaNunua Toyota Vanguard,hutajuta.
🤣🤣Izi gari mikweche mcje sema hatukuwaambiaChukua Mazda CX-5 ya diesel kwa safari ndefu inafaa sana
Watu wabaya, mnamlengesha mdau kwenye shipa!Tafuta mitsubishi Pajero 2005- hadi 2007, kwa safari ndefu cc 3000.
Ni gari nzuri sana na ni kubwa its competition are the like of prado
Hakuna gari hapo utajutaChukua Mazda CX-5 ya diesel kwa safari ndefu inafaa sana
mkuu ulichosema ni sahihi kabisa💯Mkuu wote wanaoanzisha nyuzi za kununua magari sio wanunuzi wa magari wengine wakishiba tu wanawaza magari na kuanzisha nyuzi wengine wanaweza kukufata inbox ukadhani ni wateja kumbe ni shibe tu mnunuzi wa gari anajua anachokihitaji..