Recent content by Zizu

  1. Zizu

    Nimekuwa senior member

    Nina furaha sana siku ya leo na sababu kubwa ni kuwa leo ni birthday yangu.Sikujua kwamba unapokuwa umetimiza miaka 25 ndo JF inakutambua kama Senior member.Namwomba Mungu anipe kibali cha kuishi miaka mingi zaidi hata na mimi nipate kutimiza ndoto zangu. Ni mwaka huu ndo natazamia kumaliza IFM...
  2. Zizu

    FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

    Hivi kwa nini Man U hamuipendi Barca.
  3. Zizu

    UKIGUNDUA unasalitiwa utafanyaje?

    nampa shua then bye bye.
  4. Zizu

    BAD NEWS: Coastal V Yanga kugeuka mechi ya kirafiki?

    Safi sana. popopo popo ehee kidedea.
  5. Zizu

    Miongoni Mwa Mazuri ya Kikwete: "Has Good Sense of Humour"

    Jamaa ni Superstar ndo nachojua kuhusu sifa kama Raisi yeye hajajaaliwa
  6. Zizu

    Wapinzani Watamkumbuka Kikwete

    Jamaa ni mtu wa visasi ile mbaya au mmesahau ya Babu Seya. Kama haitoshi muulizeni Masoudi Kipanya kisa cha yeye na Fina Mango kufukuzwa Clouds FM. Kama haitoshi hata alipokuja kupata kipindi TBC JK akamfata Tido huyu mtu sitaki kumwona ndo chanzo cha Maisha plus kufa.
  7. Zizu

    Transfer news...

    mbona maandishi mengi sana nyie wenyewe mnayasoma yote hayo. Jaribuni ku edit
  8. Zizu

    Mbowe/Dr Slaa: vyama vinapita,utanzania unabaki,tusigombane

    mapacha wasiojuana hao
  9. Zizu

    Mwanamke anategemea kupata 'hiki' kwenye uhusiano!

    ukipenda soul utamfurahia mwanamke mpaka basi maana kila atachofanya utakiona tofauti na mwingine hawezi ila ukipenda umbile mbona wako wengi
  10. Zizu

    Mwanamke anategemea kupata 'hiki' kwenye uhusiano!

    #5 mwanaume asiitumie kwa kila mwanamke ni yule tu wa ukweli otherwise ataumia
  11. Zizu

    Radio Clouds hawajaufurahia ushindi wa CHADEMA?

    Mr Ruge is a businessman hata siku moja huwezi kufanikiwa ukiwa against na rulling party so kujipendekeza kwake kwa sisiem kuna isaidia clouds media. Hata wewe ukiwa na media yako ukiwa against watakusumbua mpaka basi. Angalia watu kama Bakharesa kaiba pembe za ndovu mpaka basi enzi za Mwinyi...
  12. Zizu

    Simwelewi ana maana gani?

    Hana tatizo ila ni mazoea ndo yanayomsumbua. Ila double penetration inaweza ikasaidia sasa kazi kwako kumset
  13. Zizu

    Mkuu wa nchi anajua sana kutoa pole kwa wafiwa.

    lakini hambaki mtoto wa mtu so its good for him
  14. Zizu

    Mood swings...wadada mbona mnakuwa hivyo?

    na mwanamme ulimpata ungenipata mtu kama mimi. Ungeipata freshi.
Back
Top Bottom