Recent content by Zizi la ng'ombe

  1. Z

    Toyota Noah for sale, 9.5 Millions

    Ipo kamaimefanyiwa recondition
  2. Z

    Lowassa Njia Panda kwa Wanafunzi wa Elimu ya Juu

    Bodi ya mikopo wanakopesha 15bil per year, escrow ilikuwa 200bil - enough kusomesha bure chuo kwa 12+
  3. Z

    NEC yawatoa hofu wananchi, yaonya vyama vya siasa

    Kwani last time walitangaza ndani ya muda gani?
  4. Z

    MTV waandaa collabo ya Ne-Yo na Diamond Platnumz, this is epic!

    Hivi bado kuna watu wanaamini Ali kiba yupo level sawa na diamond?
  5. Z

    Habari njema kwa CCM, mbaya kwa Lowassa/Ukawa: CCM itashinda urais October 2015!

    Jipe moyo kwani wastaarabu hufa na tai shingoni
  6. Z

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Arsenal mbona kimya kuhusu benzema?
  7. Z

    Picha : Mapokezi ya Lowassa Mbeya

    Mkutano wa hadhara utafanyikia wapi?
  8. Z

    Nape aita waandishi wa habari Lumumba kujibu mapigo ya UKAWA

    Nimesoma post zote lakini Sijaona post inayothibitisha kauli ya mh. Magufuli kutoa laptop kwa waalimu nchi nzima na aliitolea wapi. Sheria ya mitandao itaondoka na wengi sana
  9. Z

    Mkutano wa kumtambulisha Mgombea Urais UKAWA-Mbeya

    Hao watu kujaa barabarani mbona hakuna picha? Huo ni usanii acheni kujishaua shame on you mnaoripoti vitu bila ya proof
  10. Z

    WanaCCM tupaze sauti zetu hali ni ngumu huku mtaani

    R.I.P ccm na makamu wa raisi leo anahamia ukawa
  11. Z

    Upandishwaji wa madaraja 2015 nini kinaendelea sasa?

    Opras mlijaza? Na mlitimiza malengo? Sio mnakaa kulalamika tu na mpaka muingie kwenye bajeti
Back
Top Bottom