Recent content by ZINDAGI

  1. ZINDAGI

    KERO Barabara ya Temeke ni mbovu, wahusika hamuioni?

    Kuna hali ya kutozijali barabara za Wilaya ya Temeke kwa kiasi kikubwa, wahusika ni kama hawajihusishi kabisa. 1. Barabara ya Temeke ina mashimo makubwa ambayo yanachangia kuharibu magari, kusababisha foleni, na kufika sehemu muhimu kwa wakati. Mashimo haya yapo tangu mvua za vuli za mwaka jana...
  2. ZINDAGI

    Tuwape Tanesco maua yako haraka

    Hapa tulipo hatua umeme tangu asubuhi
  3. ZINDAGI

    Wachezaji 12 wageni kwenye timu ni sumu kwa Taifa stars

    Timu kubwa ilizotaja zina wachezaji wageni zaidi ya asilimia 80% ktk first 11 zao hao wazawa watatoka wapi
  4. ZINDAGI

    Tanzania kujenga viwanja 6 vipya bora vya mpira kabla ya 2026

    Na sisi huku Mafia mtujengee kimoja, hatuwezi kuwa tunapanda maboti kuja kuangalia mechi huko kila mara.
  5. ZINDAGI

    Tarura Temeke, barabara zinazojengwa za zege hazijengwi kama design inavyotaka

    Habari za kutwa, tunaomba wataalam wa Tarura Temeke mpitie hizi barabara zinazojengwa, scope haikamiliki, barabara hazina mitaro, baraara vipande vipande hazikamiliki, taa za barabarani hakuna, Kingdom zinajazwa michanga. Tuhurumieni
  6. ZINDAGI

    Bonus: Orodha ya Full funded Scholarship za kumalizia mwaka

    Ahsante kwa kazi nzuri Natafuta scholarship za Medicine, naomba muongozo kiongozi
  7. ZINDAGI

    Hatimaye naenda kuumbuka. Mimi ndiye nilikuwa chanzo cha Unit 13.7 kuisha ndani ya masaa 8 hadi 12

    Kuna mganga yupo Keko Magurumbasi huwa anawuwezo wa kubadilisha mawazo ya mwenye nyumba, Nione nikusaidie
Back
Top Bottom