Mwalim wa As Vita ajakosea alichosema, Simba bado haiaminiki, wala na mashabiki wake, wala na wachambuzi wa michezo hapa nyumabani, na wengi tulizima radio na TV wakati mchezo ukiendelea,
Sent using Jamii Forums mobile app
Alafu jomba ’ roullete inalipa mara 36 kwa kila kiasi unachobet kwenye namba moja utakayobet na kupatia, sasa laki moja unapataje milioni 27,
Sent from my iPhone using JamiiForums
DHAMBI NI TAMU; Asiye na makosa dhambi na awe wa kwanza kuhukumu, Ee Mungu nakuomba uwasamehe hawa ambao zambi zao zinaonekana kubwa kisa zimevuja, na wale ambao zambi zao ni kubwa ila wamezificha pia, nasi sote tusioona zambi zetu, tusamehe na kuturehemu na utuokoe viumbe wako, zidi ya nguvu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.