Unajuaje labda mtoa mada ni ndugu au mtoto jeMkuu mambo ya ndani ya ndoa ya mtu unayajuaje?
Kama watoto wa marehemu na ndugu zake hawajalalamika sisi tujadiri kama akina nani?
Umenena mkuu, watoto, ndugu wote kimya, wewe ni nan unaetaka kujua zaidMkuu mambo ya ndani ya ndoa ya mtu unayajuaje?
Kama watoto wa marehemu na ndugu zake hawajalalamika sisi tujadiri kama akina nani?
Kwahiyo akammachame yeye ?Inasemekana maza alitaka kum-machame mzee machache
Umeongea mengi na naona yana manufaaMtu anapokufa hakuna ndoa tena.
Sasa akiwa hai hamkumpigania akatambulika kama Mke halali wa Mengi .
Leo amekufa mnampigania atambulike kama mke halali.
Awe halali ili iweje wakati ameshakufa?
Acheni Chuki na Majungu.
Tatizo la jamii hasa wanawake ni kuamini kuwa wanaume watatangulia kufa na wao watarithi mali. Inapotokea kinyume chake watu wanabaki kuchonga wakati ni mapenzi ya Mungu.
Na wanaume tangu wakati wa Neno la Kweli la Mungu waliishi miaka Mingi sana. Wakati huo walikua wanaoa wake wengi na kuishi maisha halisi sio maigizo ya sasa hivi ,ambapo wanawake wanalenga mali tu na kuwatumia wanaume kama kitega uchumi huku wakiwasubiri wafe ili wabaki na mali. Ndio maana Maskini na wakulima wa vijijini wasio na mali nyingi za kistarehe zaidi ya mali ngumu kama mashamba ,mifugo na mitumbwi ya kuvulia wanaume wanaishi miaka mingi sana kwa sababu wanawake hawanauwezo wa kutawala hizo mali na miundo mbinu yake hata kama wana vibenteni. Hata waganga wa kienyeji wanaishi miaka mingi kwa sababu wanawake hawawasumbui kutamani kuwaua ili wakimbilie mali mana mali ni uganga wake mwenyewe.
Lakini Tabu inakua mali za kisasa zenye kuleta starehe kama majumba ,magari ,maduka ,Pesa benki n.k. Wanawake watajenga bifu na wivu wa ajabu na hata kuwaharakisha waume zao kufa ili wabaki na mali hizo zitakazo wafanya waishi maisha ya starehe. Mmama amefikisha miaka 55 lakini Bado ana jifanya ana wivu wakati hata kibiolojia mwili umepoa. Mara nyingine wivu wa kufikirika tu kuwa amechokwa unamfanya kuwaza kumuua Mumewe ili abaki huru.
Zamani Kwa asili za mwafrika Mama akishakua mzee anatafutiwa binti mdogo ili amsaidie kazi. Na hata kama ni kule kijijini anakua sasa ndiye anayepambana na mifugo na shamba.
Tuache kumbughudhi Mzee Mengi.
Anajua Mwenyewe nini kilitokea mpaka wakatengana.
Na kama hawakurudiana walipokua hai ni kosa kabisa kuwaunganisha mmoja akiwa amekufa. Ndio inakuwepo wakati wa uhai tu.
Naamini kutaja kuwa alikua Mwasisi wa IPP ilikua ni jambo la msingi mana inaonyesha kuwa Bado alikua ni share holder na share yake itakua urithi wa watoto na wajukuu zake.
Ukristo upi mkuu wakatoliki ni mke mmoja tuu mkuu labda kwahao wenzetu kkktKina Jackline Ntuyabaliwe amemshika Mzee hapo
Hapana hyo ni kitambo sanaKwahiyo akammachame yeye ?
Kwani watu bado wanadanganywa kuwa ukristo unakataza kuwa na mke zaidi ya mmoja.Nadhani wameshuhudia kwa Mengi
Itakuwa ndiyo sababu ya kutengwa, kazi sana roho nyingine hizi Mungu atusaidiyeHapana hyo ni kitambo sana
Kula tano mwana.Mkuu mambo ya ndani ya ndoa ya mtu unayajuaje?
Kama watoto wa marehemu na ndugu zake hawajalalamika sisi tujadiri kama akina nani?