Kama heading inavyojieleza wapendwa nahitaji ushauri wa lotion nzuri ya kupaka ambayo haina cream.
Nahitaji kuwa soft zaidi ngozi yangu sio ya mafuta na wala sio kavu haina chunusi kwa hiyo ni lotion gani nzuri itafaa ngozi yangu.
Asanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.