Kuna tofauti ya kuwa na maji na kuwa na uji mzito, maji ni kero ila uji ukiwa mzito hata kama ni mwingi huwa ni mtamu.Ndo nzuri full kuogelea
Washindwe nnMshindwe kwa jina la Yesu
Mchina at work
Pole sanaMweeeh sijui nilikuwa wapi tu maana ni shidaaa
Weeeee!!?jiangalie mkuu,ukija mbeya utakufa siku mbili tu maana huku hiyo migongo yote imeenea upupuWenye chura kama hiyo wanakuwaga hawana ngwengwe.
Kwa kiganda sio kiswahili
Kwa kiswahili inaitwa kachabari
Sio kinyongesponge Bob
Hivi hawa nyumbu hua wanapatikana uswazi tuuu au mana kili picha wanazopiga hua zina background yenye kuta chafu chafu tuuu.....
Nipeni address niwapate mana nami ni wa uswazi
ndiyo maana zinatumika kwenye katelero..........inahitaji maji mengi .Tatizo lao k. zao maji mengi.