Recent content by Zeus1

  1. Zeus1

    Unalipwa 500,000 TZS? Jaribu kuishi hivi!

    We shouldn’t spend all the time just working and doing all that saving and investing staffs without even enjoying ourselves. With that little you get, try also to do something that gives you some relaxation or enjoyment, even if it costs a small amount. I mentioned alcohol just as an example...
  2. Zeus1

    ULEVI: Kwa nini wengine wanabaki juu (Wanajimudu) wakati wengine wanaporomoka?: Kwa jicho la Huruma tutafakari maisha ya ndugu zetu hawa

    Mimi pombe nakunywa kama starehe,natoka out napiga beer zangu kadhaa then narudi home,sio kuwa chakali,na niwe sijachoka na kazi.
  3. Zeus1

    Unalipwa 500,000 TZS? Jaribu kuishi hivi!

    Huyu mtu hata weekend moja asijitoe out ale hata beer Tano?
  4. Zeus1

    Brela namba mlizoziweka ni urembo? Ampokei simu kabisa kwanini lakini?

    Haya mawasiliano yamewekwa brela ni urembo au, Aisee hawajamaa hawaja wahi kupokea simu. Yani kama uko shamba inabidi ufunge safari tu kufika ofisini.
  5. Zeus1

    Sili tena nyama za buchani

    Maji ya zamzam ndo ya aina gani?na Yana athari gani?
  6. Zeus1

    Mikopo Kwa wafanyabiashara

    Mkopo wa billion moja, collateral ni nyumba yenye thamani ya billion Tano, Kama uko serious na unaweza nicheki mkuu.
  7. Zeus1

    Tuambizane kiume, je ni sahihi kumrudia na kumuoa mwanamke mliyewahi kuachana baada ya yeye kuzaa na mtu mwingine?

    Ni kweli hauko sawa kabisa kwa asilimia 1000. Na mwanamke hajistukii anajiona sawa tu?? Huyo mwanamke ni shetani,jiepushe nae
  8. Zeus1

    A serious single man is needed age btwn 33 to 42 yrs old

    Njoo pm mchumba,
Back
Top Bottom