Recent content by Zeus1

  1. Zeus1

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda ICYMI: Starlink Set to Launch Services in Uganda Following Regulatory Approval

    Bora wenzetu mnajielelewa,good for you.
  2. Zeus1

    JamiiForums Tanzania Ukweli kuhusu Fortunatus Buyobe na Sakata la kutekwa Mshabaha Nairobi kwa mujibu wa Hilda Newton

    Duuuh,hatari sana hii. Sasa hilda nae kwanini hakutaka kusema yote haya mpaka imeoita muda hivi.
  3. Zeus1

    JamiiForums Tanzania Kwa waliowahi kuendesha gari la LHD, ni risk kiasi gani hapa Dar?

    Kwa mimi hiyo gari na ikiwa manual,lazima inipe shida
  4. Zeus1

    JamiiForums Tanzania Kwa waliowahi kuendesha gari la LHD, ni risk kiasi gani hapa Dar?

    Hapa kweli nimekuelewa
  5. Zeus1

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Je, huduma ya uwezeshaji kwa njia ya mikopo inatolewa kwa kurasa hizi za Facebook?

    Yeye mwenyewe ndo muwezeshaji,labda atajipiga mwenyewe
  6. Zeus1

    JamiiForums Tanzania KERO Sifurahishwi na namna huduma inavyotolewa huko BRELA, Idara ya Usajili wa Majina ya Biashara

    Yani hiuo kuambiwa uanze uoya wakati ulishalioia haioo kabisa na sio sahihi. Yani online customer care ya brela ni mbovu sana aisee,ukiwapigia mara hawapokei na wakipokea utaishia kuskiliza wakiteta umbea tu. Wawaige wenzao nest wako very active,nawasifu sana.
  7. Zeus1

    JamiiForums Tanzania Nataka kumtoroka mwajiri wangu bila kumuaga

    Nakumbuka nilipataga kazi sehem,nimeenda asubuhi nime sign mkataba, Ilibyofika jioni mda wa kuondoka sikurudi tena aisee. Kuna ma boss wengine ni ngumu sana kufanya nao kazi
  8. Zeus1

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nataka Mwanume wa kunihudumia Na Mimi Nimpe Penzi, Amani na Heshima

    Nitumie picha yako
  9. Zeus1

    JamiiForums Tanzania Waziri wa Maji-shikamoo!

    Alafu yalikuwa Yana harufu mbaya na Kali San aisee
  10. Zeus1

    JamiiForums Tanzania The most polite countries in the world, surprise no muslims!

    Yani Mimi hapo kwa south Africa nasema hapana. Na nchi nyingi za Europe Zina ubaguzi sana hapo,sasa sijui ustaarabu gani huo.
  11. Zeus1

    JamiiForums Tanzania Kutokwa na damu puani kunasababishwa na nini? Na tiba mbadala ni ipi?

    Hilo tatizo lilinisumbua sana wakati Niko mdogo,likaja kuacha yenyewe
  12. Zeus1

    JamiiForums Tanzania Inawezekana Nyumba ya Chini Kua Ghorofa kwa Kuongeza Nguzo na Tofali za Kulaza?

    Yote yanawezekana vizuri kabisa
  13. Zeus1

    JamiiForums Tanzania Nimezaliwa Pemba nimekulia DAR(Faida ya Muungano)

    Mtoto mrembo,niwekee namba yako pm
Back
Top Bottom