Nani anaikumbuka THE PROMISE?

Nani anaikumbuka THE PROMISE?

Daah mwanangu Mara Clara wale mapacha

Mmoja alipatwa na tatizo la ngozi

Kama sikosei hawakuwa wanapatana more often ila baadae mwishoni kabisa yule mmoja aliyekuwa na baka la uso akafanyiwa surgery.. Then uhasama ukaishia it was so emotional yule mmoja alivyo pona

Nahisi sikuifatilia vizuri! Hebu nikumbishe story line yake japo kwa ufupi
hapana story yake inaanzia hospital watoto wawili wanazaliwa siku moja ila wanachanganywa majina halafu wazaz wao wanakuja kuwalea had wanakuwa wakubwa kumbe sio watoto wao wa kuwazaa yaan walikuwa switched
 
hapana story yake inaanzia hospital watoto wawili wanazaliwa siku moja ila wanachanganywa majina halafu wazaz wao wanakuja kuwalea had wanakuwa wakubwa kumbe sio watoto wao wa kuwazaa yaan walikuwa switched
Ooh yes,
Nimekumbuka nahisi kuna moja niliona ina maudhimui ya mapacha then nikachanganya na hiyo

Baadae walikuja kujua ukweli, sio?
 
Mbona ya juzi hiyo,ilikuwepo La mujer de mi Vida halafu ikafuatiwa na La mujer de Lorenzo!
 
Hapana,nayo ilikuwa tbc.
Baada ya the promise kuisha ndo ikaja the long wait.

Star tv walikuja na it might be you na timeless
Halafu kwenye timeless hivi character main walikuwa nani na nani vile
 
Halafu kwenye timeless hivi character main walikuwa nani na nani vile
Walikuwa wale wale wa kwenye the promise,yani jericho na mwenzake kristen.

Na the longwait walikuwa wale wale kwenye it might be you
 
Walikuwa wale wale wa kwenye the promise,yani jericho na mwenzake kristen.

Na the longwait walikuwa wale wale kwenye it might be you
Yes kumbu kumbu zangu kumbe ziko poa

Ila the promise na it might be you ndo zilibamba sana.
 
Hapana,nayo ilikuwa tbc.
Baada ya the promise kuisha ndo ikaja the long wait.

Star tv walikuja na it might be you na timeless
mimi sielewi chochote kuhusu hayo mambo mkuu.

nimekuja kuanza kuona hizo mambo kipindi cha Mara Clara
 
Wakati DSTV wameingia Tz mwaka 1997,ilikua ya kulipia ila cha ajabu mwaka 1999 naenda morogoro DSTV bure,ukiwa na Antena tu Chanel zote hadi Mnet unaona,wakati dar DSTV kwa watoto wa matajiri masaki huko..

Na huo mwaka ndio ISIDINGO ilikua inaanza,my brothers walikua secondary school mimi vidudu so wakiangalia ISIDINGO namimi nimo,.

Nakumbuka isidingo star alikua jamaa anaitwa Derik Nyathi,sharobaro fulani kipenzi cha dada zetu enzi hizo,ana dreadlocks..

Dstv boss alikua dada fulani Smart sana anaitwa LUCY KIWHELE(siwezi kumsahau)..alisema atamleta Derek Nyathi Tanzania,.oya tulitembea kwa miguu hadi Airport kumuona Derek Nyathi,watu walikua wengi,kama nakumbuka alipokelewa na Lucy pamoja na Jimmy Kabwe..

Mwaka 2000 Kuna TV series ya wasauzi ikawa inaoneshwa Chanel moja na isidingo,inaitwa BACK STAGE tulikua tunaipenda sana sababu ilikua about music na vijana tu,..ITV walikua na The passion(1999 ilianza) na Days of our lives(RIP TABITHA)

Mwaka 2020 nikaIkumbuka isidingo baada ya kuona uzi humu una update kila episode...nikaanza kuangalia tena..

Kipindi ambacho hizo za kifilipino zinaanza Tanzania Tulikua tayari wajanja,internet,series tuna download tu or CDs tunanunua so sijawahi kuangalia series ya kifilipino....

Asante kwa kunikumbusha isidingo, Kuna dada anaitwa Lungi,wahuni wamemlia sana Nyeto
 
Ni kali kushinda TAUSI?
Nimecheka na kukumbuka mbali, mtaani ni nyumba 2 tu ndio walikuwa na TV, muda wa TAUS ukifika mnaenda kujazana kwenye sebule za watu, nie......tumetoka mbali🙌🙌
The Promise wakati inaoneshwa Star TV nilikuwa tayari nimeshajipata, nilikuwa naangalia sebuleni kwangu😂😂😂
 
Back
Top Bottom