Recent content by ZENITH

  1. ZENITH

    Tuambizane kiume, je ni sahihi kumrudia na kumuoa mwanamke mliyewahi kuachana baada ya yeye kuzaa na mtu mwingine?

    Ushaur Ushauri mzuri sana na umeandikwa kwa mpangilio na utulivu mkubwa,Good,ila Kuna kitu inabidi wanaume tukijue,tabia ya uliyomkuta nayo mwanamke in her early twenties,hiyo ndo tabia yake halisi(dominant behaviour).Kumbuka pia wanawake kama huyu wakishafika katika umri wa miaka 30(her...
  2. ZENITH

    Upwiru umekuwa janga kubwa kwa wanawake

    Kabisa,huyu hajui.Hao wanaokaa uchi mitandaoni,hawasumbuliwi na upwiru,ni matangazo ya biashara.Hao wake za watu wanaodiriki mpaka kuhonga,sio upwiru,ni Visasi kwa waume zao ambao pia wamewasaliti na kutokuwapa muda,hivyo anatafuta mtu mwingine ili kujipandisha thamani na yeye aonekane kwamba...
  3. ZENITH

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Kwahiyo Ili Kwa usalama wa Afya yake unamshauri ahamie Man united,au sio?
  4. ZENITH

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Wakuu msaada link ku Livestream hii gemu
  5. ZENITH

    Nahisi mume wangu ana watoto wa nje ya ndoa

    Yeye amezaa kawaacha nje hukooo,na wewe pia uzae ukawaache nje huko huko!
  6. ZENITH

    Vijana wa sasa hawajui kusex

    Kuna dada mmoja aliongea kule Twitter(X), kwamba mwanamke kama anakupenda na kakuweka Moyoni na akilini mwake pia, kitendo Cha wewe kumgusia Nia ya tendo, tayari ashalowa. Na Mimi hili silipingi,Nina ushuhuda nalo. Kuna wanawake nilishawahi ku date nao,yaani huna haja ya kumuandaa Wala...
  7. ZENITH

    Nimelidondosha Bumunda jingine leo. Sitaki ujinga

    Anyway,labda mimi Sina Hela,300k yote hiyo!!?
  8. ZENITH

    Hivi anaepaswa kuilinda ndoa ni mke peke yake au mke na mume

    Simple tu,muache huyo jamaa,kajitafutie mwanaume ambaye hataku cheat kamwe!!
  9. ZENITH

    The pain ya kusingiziwa mtoto wanawake acheni huu unyama

    Waache waendelee kukubishia, lakini hata mimi hii fact naijua,iko hivyo
  10. ZENITH

    Ukweli Mchungu : Kanisa la Mwamposa " Arise and Shine" ndio taasisi ya kiimani inayo hitajika zaidi Tanzania kuliko hata kanisa Katoliki na Uislamu

    Nitakuwa mtu wa mwisho kabisa kuingia hilo kanisa,siamini kwamba kuenda mbinguni kunategemea kuwa katika dhehebu fulani.
  11. ZENITH

    Mungu yupi ni sahihi? Karibu tujadili

    GOD Can not be defined,confined,bounded,limited or restricted. GOD is infinite in power, infinite in time, infinite,infinite in space. GOD is the ALL,There is no place outside the ALL, It's continuous in space, without Break, cessation, Separation or Interruption. GOD is the ALL,GOD is the...
Back
Top Bottom