Kabisa,huyu hajui.Hao wanaokaa uchi mitandaoni,hawasumbuliwi na upwiru,ni matangazo ya biashara.Hao wake za watu wanaodiriki mpaka kuhonga,sio upwiru,ni Visasi kwa waume zao ambao pia wamewasaliti na kutokuwapa muda,hivyo anatafuta mtu mwingine ili kujipandisha thamani na yeye aonekane kwamba...