Itakuaje pale mpenzi wako anapokupigia simu Mara moja kwa wiki, na ikipiga simu haipokelewi na akipokea mnasalimiana tu Alafu atakwambia atakupigia badae, na hapigi pia unamkuta online whatsp ukimtext anafunga data, unapomuuliza Kama kweli a nakupenda ana sema ndio. Je huu ni uungwana?
Habari zenu wa uungwana, Naomba Kujua nina mdogo angu kumalizia 4m4 Kenya shule za Kata Sasa tunataka aje kusomea 4m5 huku tzd, itakuaje na nikivipi na shule ipi nzuri kwa Dar, moshi na arusha? Asanteni na Subiri ushauri, kama hujaguswa maliza mwaka salama
Ni meamini kua sisi wanawake wenye matatizo ya uzazi ni vigimu kujificha lakini mwanaume ni rahisi sana kwa vile anaweza kilea mimba ya mwanume mwingine na mtoto akawa wake ,ila kwa mwanamke atasumangwa na kufukuzwa kama mnyama
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.