Recent content by zefa

  1. Z

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mwita Mwikwabe Waitara, mwisho wa enzi

    Karm Inafanya kz
  2. Z

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume msiwe wanafki kwenye hili

    Kama wewe una kazi ya kueleweka inatosha kusogeza Maisha mbaya zaidi ni kwamba kama wote mko chini kifinincial
  3. Z

    JamiiForums Tanzania Unahitaji ushauri juu ya masuala ya ujenzi na gharama zake? Karibu tukuhudumie

    Naomba kuuliza ni mambo Gani ya kuzingatia wakati unajenga msingi kwenye udongo ambao una kiasi kikubwa Cha magadi
  4. Z

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Neno moja tu la manzi linalo nitiaga wazimu.

    Ni wewe tu
  5. Z

    JamiiForums Tanzania Mwenyekiti wa UVCCM Taifa Mohammedi Kawaida akiwa amebeba Jeneza lenye Mwili wa Michael Kalinga

    Kuna vifo vya wanasiasa wengine vinauma lakini ila vya wengine haviumi (wapinzani) mahala tumefika ni pabaya sana sisi ni ndugu Kwanini tutoane uhai kisa siasa? Inasikitisha sana
  6. Z

    JamiiForums Tanzania Nifanyeje ili mbwa wangu wawe wakali?

    Changanya bangi kwenye chakula chao watakuwa wakali
  7. Z

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi bado kuna wanaume wanazama chumvini?

    Bakuli unayotumia mwenyewe unaweza kuilamba Ila lile mnaloshare hapo ni mtihani
  8. Z

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nina mashaka na ujauzito wa mpenzi wangu

    Hajasema ana mimba Yako amesema anahisi ana mimba
  9. Z

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Picha za dada na mchepuko wake zimenivuruga

    Akiachika utakuwa tayari kumpokea nyumbani? pambana na maisha Yako achana naya wengine
  10. Z

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Idadi ya wake kwa watu wa Mungu

    moja tu pasua kichwa wakiwa zaidi ya moja si utakuwa chizi
  11. Z

    JamiiForums Tanzania Hoteli za Morena na Huduma Mbovu

    meneja wa monera njoohuku ujibu tuhuma za mteja wako
  12. Z

    JamiiForums Tanzania Pumzika kwa amani rafiki yangu na pole kwa familia nzima

    poleni kwa msiba ndugu jamaa na marafiki
  13. Z

    JamiiForums Tanzania Ikiwa wewe ndiye Masikini zaidi kati ya ndugu zako, epuka mikusanyiko ya Kifamilia

    nakumbuka siku nilihuduria kikao cha msiba kanda ya kaskazini mimi kama mkwe wife kanitambulisha kwa mjomba wake kila dakika mjomba ananiuliza umekuja na gari gani ikabidi tu nimpotezee wao wanadhani kila anayemwoa binti yao ni tajiri
Back
Top Bottom