Kuna vifo vya wanasiasa wengine vinauma lakini ila vya wengine haviumi (wapinzani) mahala tumefika ni pabaya sana sisi ni ndugu Kwanini tutoane uhai kisa siasa? Inasikitisha sana
nakumbuka siku nilihuduria kikao cha msiba kanda ya kaskazini mimi kama mkwe wife kanitambulisha kwa mjomba wake kila dakika mjomba ananiuliza umekuja na gari gani
ikabidi tu nimpotezee wao wanadhani kila anayemwoa binti yao ni tajiri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.