Recent content by zeeth

  1. Z

    seeking for a job as accountant

    nimegraduate 2009 cbe nina experience ya miaka 3 kwny ajira binafsi(self employment),nina tafuta kazi kwa muda mrefu ss bila mafanikio,msaada plz
  2. Z

    Nataka kujitoa chadema naomba ushauri

    ndugu nawapasulia naona umetoa tuhuma zilizokufanya kwann unataka kuhama chadema,mm ni mwana chadema nitalifanyia uchunguzi nikigundua kuwa na ukweli nitahama,na jamaniiii mwenzetu katoa mtazamo wake haina haja ya kumtukana bila sababu kiama imekuuma pia fanya uchunguzi chukua hatua.
  3. Z

    Nataka kujitoa chadema naomba ushauri

    jamaniiiiii eeeh,jamaaaa sikashasema?apendezwi na ukabila na uendeshaji mbovu wa chama na maadili mabovu ya viongozi,mi naona hii ni challenge kwenu mnaojiita wanachadema,embu chakachueni hayo mawazo yake mwisho wa siku mtakuja kujuta bureeeeeeeee na mda utakuwa umeisha.embu tafakarini kama...
  4. Z

    GE2010 Ccm ushindi kwenda mbele

    chama cha mapinduzi ni chama amabacho kimejipanga vizuri kuweza kuhakikisha kinapata ushindi wa kishindo, kwani ndio chama chenye Sura nzuri ukilinganisha na cha ma kingine chochote kinachoshiriki uchaguzi wa mwaka huu 2010. Sera za chama cha mapinduzi zimejikita vizuri katika...
  5. Z

    Kina Dada Wazalendo mpo? Mfano wa kuigwa huu!

    natumaini kuwa kila jambo linakwenda vizuri kama kawaida ktu cha maana zaidi vijana kuwa pamoja kujenga umoja wao
  6. Z

    GE2010 Matusi au 'tuhuma' katika kampeni?

    sio kihivyoooo bwana maintain ur language,ccm foreva
  7. Z

    Vyuo vikuu kama shule za kata

    hapo sasa,serikali imejitadi sana katika kuanzisha vyuo vikuu,mtu akifika hapo inamaana kuwa ana upewo na utashi wa kutosha juu ya elimu,maswala ya spoon fiding tuwaachie ly,tutafute material kupitia njia mbalambali mbona net zipo.
  8. Z

    GE2010 Nasita kumwita jina la JK

    sidhani kama kifupi cha jina lake linaweza kukufanya wewe kumuona hafai kwa kudai kuwa anajifananisha na kambarage nadhani cha kuzingatia ni mambo aliyoyafanya na si kifuppi cha jina lake kama unavyo fikiria wewe< TAFAKARI CHUKUA HATUA.
Back
Top Bottom