Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,668
- 13,237
Ndugu zanguni tangu kikwete alipoanza kung'ang'ania kuingia ikulu na kuomba sana awe anaitwa JK (Jakaya Mrisho Kikwete) badala ya JM yaani alidhamilia kuwasahaulisha watu ile imani ya JK (Julius Kambarage Nyerere) halisi kuwa nafasi ya urais haimfai....
Mimi binafsi huwa nashindwa kumuita JK kwani huyu JM hafikii wala hana dalili za kuweza kufikia japo robo ya JK.
Mimi binafsi huwa nashindwa kumuita JK kwani huyu JM hafikii wala hana dalili za kuweza kufikia japo robo ya JK.