Binadamu wote ni sawa na hakuna mtu bora kuliko mwingine , ko harakati za kijinga hazina tija .Watu wanakufa kibiti watu kimya afu mtu mmoja kupigwa risasi eti hatujawahi kuwa na tukio kama hili .Hili ni kama tukio lingine tu halina tofauti yoyote .
Sent using Jamii Forums mobile app
Wote wapumbavu tu , kusanyaneni wenyewe kweny mikutano yenu ya ndani tuachen ss tufanye kazi , hatataki fujo zenu . Mnataka kila kitu kisimame kwa kusikiliza upuuzi wenu kila siku
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanasiasa jitahdn kufanya mikutano yenu ya ndani achen watu wafanye kazi , tunataka tufanye kazi tusonge mbele uo upumbavu wenu hatutaki
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.