Wameuawa Polisi 10 Viongozi wa vijiji 30 na Raia 3 huko Kibiti,Ikwiriri na Mkuranga..Wanaharakati kimyaaa!

tramadol

JF-Expert Member
Oct 10, 2015
5,383
4,317
Kweli watanzania tuna shida kubwa vichwani Katika kutetea na kupigania usalama wa raia wake.

Mauaji yalipokuwa yanatokea Ikwiriri, Kibiti na Mkuranga Wanaharakati na wapigania usalama walikuwa kimya tu zaidi ya kulaumu Jeshi la Polisi kuwa ndiyo hawafanyi kazi yao na wengine wengi tu kufurahia kuuwawa kwa Polisi.

Lakini imetokea hii ya Dodoma juzi basi kila mmoja anapiga kelele utafikiri wa Kibiti waliouwawa walikuwa si binadamu.

Watanzania tuache kubaguana kwa msingi yoyote ile ili tujenge umoja wa kitaifa na tulaani unyanyasaji na uonevu wowote ule kutoka mamlaka zinazohusika na usalama wa raia.

Lakini pia tuwafichue wahalifu waliopo miongoni mwetu ili kuhakikisha jamii yetu tunaishi salama kabisa.
 
Naulaani huu uzi na mleta uzi pia. Usipende kulinganisha vifo kama maharage yaliyopikwa. Juzi Dodoma hakufa mtu mmoja tu, wala walioumizwa Dodoma kwa njia yeyote ile hakuwa mtu mmoja tu.
Tumelaani waliofanya kitendo hicho, nia yao tumeilaani, na njia waliyoitumia pia tumeilaani na tutaendelea kuilaani. Utu umetoweka, ubunadamu umekwisha. Utathubutu kulinganisha mauaji ya Kibiti na mtu mmoja kumiminiwa risasi 32 kweli???
Hivi zote zingelimpata mwili wake umngelikuwaje?? Nadhani una tatizo la kiakili
 
Kweli watanzania tuna shida kubwa vichwani Katika kutetea na kupigania usalama wa raia wake.

Mauaji yalipokuwa yanatokea Ikwiriri, Kibiti na mkuranga Wanaharakati na wapigania usalama walikuwa kimya tu zaidi ya kulau jeshi la Polisi kuwa ndiyo hawafanyi kazi yao na wengine wengi tu kufurahia kuuwawa kwa Polisi.

Lakini imetokea hii ya Dodoma juzi bali kila mmoja anapiga kelele utafikiri wa Kibiti waliouwawa walikuwa si binadamu.

Watanzania tuache kubaguana kwa msingi yoyote ile ili tujenge umoja wa kitaifa na tulaani unyanyasaji na uonevu wowote ule kutoka mamlaka zinazohusika na usalama wa raia.

Lakini pia tuwafichue wahalifu waliopo miongoni mwetu ili kuhakikisha jamii yetu tunaishi salama kabisa.
Watanzania wengi tuna matatatizo makubwa, hivi kweli tukio la obiti linafanana na hili la Dodoma?? Ndiyo maana hatuendelei watanzania, kweli tramadol ubafanya hivi??
 
Kweli watanzania tuna shida kubwa vichwani Katika kutetea na kupigania usalama wa raia wake.

Mauaji yalipokuwa yanatokea Ikwiriri, Kibiti na mkuranga Wanaharakati na wapigania usalama walikuwa kimya tu zaidi ya kulau jeshi la Polisi kuwa ndiyo hawafanyi kazi yao na wengine wengi tu kufurahia kuuwawa kwa Polisi.

Lakini imetokea hii ya Dodoma juzi bali kila mmoja anapiga kelele utafikiri wa Kibiti waliouwawa walikuwa si binadamu.

Watanzania tuache kubaguana kwa msingi yoyote ile ili tujenge umoja wa kitaifa na tulaani unyanyasaji na uonevu wowote ule kutoka mamlaka zinazohusika na usalama wa raia.

Lakini pia tuwafichue wahalifu waliopo miongoni mwetu ili kuhakikisha jamii yetu tunaishi salama kabisa.
Leo hii mtu kakoswa koswa na risasi kelele nyingii.
 
Naulaani huu uzi na mleta uzi pia. Usipende kulinganisha vifo kama maharage yaliyopikwa. Juzi Dodoma hakufa mtu mmoja tu, wala walioumizwa Dodoma kwa njia yeyote ile hakuwa mtu mmoja tu.
Tumelaani waliofanya kitendo hicho, nia yao tumeilaani, na njia waliyoitumia pia tumeilaani na tutaendelea kuilaani. Utu umetoweka, ubunadamu umekwisha. Utathubutu kulinganisha mauaji ya Kibiti na mtu mmoja kumiminiwa risasi 32 kweli???
Hivi zote zingelimpata mwili wake umngelikuwaje?? Nadhani una tatizo la kiakili
Ujilaani kwanza ww mwenyew.
Binadamu wote ni sawa kila bianadamu ana umuhimu kwao..
 
Kweli watanzania tuna shida kubwa vichwani Katika kutetea na kupigania usalama wa raia wake.

Mauaji yalipokuwa yanatokea Ikwiriri, Kibiti na mkuranga Wanaharakati na wapigania usalama walikuwa kimya tu zaidi ya kulau jeshi la Polisi kuwa ndiyo hawafanyi kazi yao na wengine wengi tu kufurahia kuuwawa kwa Polisi.

Lakini imetokea hii ya Dodoma juzi bali kila mmoja anapiga kelele utafikiri wa Kibiti waliouwawa walikuwa si binadamu.

Watanzania tuache kubaguana kwa msingi yoyote ile ili tujenge umoja wa kitaifa na tulaani unyanyasaji na uonevu wowote ule kutoka mamlaka zinazohusika na usalama wa raia.

Lakini pia tuwafichue wahalifu waliopo miongoni mwetu ili kuhakikisha jamii yetu tunaishi salama kabisa.
Wewe unafurahia kwa yaliyotokea kwa Lissu?
 
Kweli watanzania tuna shida kubwa vichwani Katika kutetea na kupigania usalama wa raia wake.

Mauaji yalipokuwa yanatokea Ikwiriri, Kibiti na mkuranga Wanaharakati na wapigania usalama walikuwa kimya tu zaidi ya kulau jeshi la Polisi kuwa ndiyo hawafanyi kazi yao na wengine wengi tu kufurahia kuuwawa kwa Polisi.

Lakini imetokea hii ya Dodoma juzi bali kila mmoja anapiga kelele utafikiri wa Kibiti waliouwawa walikuwa si binadamu.

Watanzania tuache kubaguana kwa msingi yoyote ile ili tujenge umoja wa kitaifa na tulaani unyanyasaji na uonevu wowote ule kutoka mamlaka zinazohusika na usalama wa raia.

Lakini pia tuwafichue wahalifu waliopo miongoni mwetu ili kuhakikisha jamii yetu tunaishi salama kabisa.
Binadamu sio sawa, ndugu,
Hatuko sawa mbele ya macho ya jamii kwa majukumu yetu tuyotekereza kwenye jamii,uwezi kumlinganisha Mzee Bakhressa na Mangi wa duka LA reja reja wa bukoba,manzese,masasi au tunduma.
Mh Lissu,ni wa kitaifa,na hao uliowataja na just local leaders,
 
Naulaani huu uzi na mleta uzi pia. Usipende kulinganisha vifo kama maharage yaliyopikwa. Juzi Dodoma hakufa mtu mmoja tu, wala walioumizwa Dodoma kwa njia yeyote ile hakuwa mtu mmoja tu.
Tumelaani waliofanya kitendo hicho, nia yao tumeilaani, na njia waliyoitumia pia tumeilaani na tutaendelea kuilaani. Utu umetoweka, ubunadamu umekwisha. Utathubutu kulinganisha mauaji ya Kibiti na mtu mmoja kumiminiwa risasi 32 kweli???
Hivi zote zingelimpata mwili wake umngelikuwaje?? Nadhani una tatizo la kiakili
Binadamu wote ni sawa na hakuna mtu bora kuliko mwingine , ko harakati za kijinga hazina tija .Watu wanakufa kibiti watu kimya afu mtu mmoja kupigwa risasi eti hatujawahi kuwa na tukio kama hili .Hili ni kama tukio lingine tu halina tofauti yoyote .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom